Aliexpress Tanzania ina husisha utapeli?

Aliexpress Tanzania ina husisha utapeli?

Joined
Mar 21, 2024
Posts
16
Reaction score
10
Habari zenu wanaJF. Nilikuwa nauliza kuhusu Aliexpress mwenye ujuzi nao tafadhali atuthibitishie. Jana nilipata kutextiwa whatsapp kwa namba ngeni akijitamvulisha kuwa ni mfanyakazi wa Ali Expresss Tanzania, basi nikamsililiza akanambia alinipa task kuwa atanipatia link then bidhaa nitakayoiona niscreenshot nimtumie. Nikafanya hivyo.

Baada ya hapo akanipa referral code na link amboyo nimtumie receptionist wao nikafanya hvyo. Receptionist akanipokea akanambia nijiunge na magroup yao mawili kwa link aliyonitumia nikafanya hvyo, aisha akanambia task yangu imeisha akanitumia 1500 kwa wallet yangu.

Akasisitiza ĺeo asubuh saa nne nimtext anipe login bonus 1000Tsh nami nikachangamkia fursa kweli nikapewa 1000.

Baada ya hapo akwa ananipa task kazi tu ni kuview bidhaa na kuadd to the cart kisha unamtumia screenshot. Klnikafanya hvyo kama task tatu sasa imebaki task moja ili anilipe 4000 aan task moja 1000 akaniambia nitume kwanza 15k ili nipewe task no 4.

Sasa najiuliza how comes wanipee 2500 then niwatumie 15k ili wanitumie 21k is this possible wanajamvi?

Screenshot_20250516_121140_Telegram.jpg
 
Kabla hujawatupia lawama AliExpress
Ni vizuri kukumbuka kuwa, inawezekana ni matapeli wanatumia jina lao kama vile matapeli wanavyotumia majina ya viongozi kutapeli watu...
 
Kabla hujawatupia lawama AliExpress
Ni vizuri kukumbuka kuwa, inawezekana ni matapeli wanatumia jina lao kama vile matapeli wanavyotumia majina ya viongozi kutapeli watu...
Siwalaumu kiongozi, nilikuwa nataka kujua tu kuhusu wao kiundani hasa miamala yao ya kimitego
 
Nimejifunza kitu rahisi kupitia hawa watu wnacheza na akili za watu. Simple task malipo makubwa it means wanajua watakavyokunasa. Nami nimejikataa siwaamini ata

🤣🤣🤣kwa hivyo ujalala umewaza usiku kucha
Hautaki malipo makubwa unataka kidogo siyo
 
🤣🤣🤣kwa hivyo ujalala umewaza usiku kucha
Hautaki malipo makubwa unataka kidogo siyo
Nishapata bonus zao kama 2.5k kifuta jasho japo baada ya hapo nilivyomalizia task kadhaa hawakunilipa ndipo waliponiamba niwatumie 15k ili wanalipe na faida nami ndio nikasanuka nikaona sio mbaya kushare na wanaJF
 
Jana nilipata kutextiwa whatsapp kwa namba ngeni akijitamvulisha kuwa ni mfanyakazi wa Ali Expresss Tanzania, basi nikamsililiza akanambia alinipa task kuwa atanipatia link then bidhaa nitakayoiona niscreenshot nimtumie. Nikafanya hivyo.
Hao sio AliExpress, wamekuja na utambulisho huo wakutapeli. Unataka kununua kitu mtandaoni nenda kwenye website yao, tengeneza profile yako na address, chagua njia ya malipo, nunua bidhaa itakufikia nyumbani kwako, hapa TZ wanatumia kampuni inaitwa Speedaf kukufikishia mzigo wako.
 
Usigeuke nyuma kabisa Hadi iwe umefika sehemu utakayo jipa uhakika ni salaama kabisa.
Ila kimbia sana mno.
 
Nishapata bonus zao kama 2.5k kifuta jasho japo baada ya hapo nilivyomalizia task kadhaa hawakunilipa ndipo waliponiamba niwatumie 15k ili wanalipe na faida nami ndio nikasanuka nikaona sio mbaya kushare na wanaJF
Walikuwa wanakuleta kwenye mtego
 
Hao sio AliExpress, wamekuja na utambulisho huo wakutapeli. Unataka kununua kitu mtandaoni nenda kwenye website yao, tengeneza profile yako na address, chagua njia ya malipo, nunua bidhaa itakufikia nyumbani kwako, hapa TZ wanatumia kampuni inaitwa Speedaf kukufikishia mzigo wako.
Hata kama ni wao hawapata ata mbuni kutoka kwangu
Hata hvyo kuna bidhaa walinitumia link nikaadd to cart baade Aliexpress real account wakaniemail
 

Attachments

  • Screenshot_20250516_185259_Gmail.jpg
    Screenshot_20250516_185259_Gmail.jpg
    195.2 KB · Views: 20
Saa hii ukisema usubiri unaowajua wakupe mchongo utachoka sana at least the strangers gave me 2500 ya airtime lakn nimegundua kunakuibiwa nimeruun harder haha
Kwanini unakubali maelekezo kutoka kwa watu strangers, tena kufanya kitu usichohitaji? Ogopa matapeli
 
Back
Top Bottom