Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,270
- 9,414
Mkuu kuna mda unafika inabidi hiz hadithi za kusadikika za vitabu ya dini na nyingne uzichukulie poa tu .
Mkuu kuna mda unafika inabidi hiz hadithi za kusadikika za vitabu ya dini na nyingne uzichukulie poa tu .
Mimi saivi naamni tu ugali ,tena mpaka ufike mezani na nianze kula .
Kuna mda mpka mimi siamini kama nipo.



sasa mkuu unaamini haupo uko wapi??Inawezekana nilishakufa zamni hizi ni illusion tu za memory yangu.sasa mkuu unaamini haupo uko wapi??


, bongo bado tupo kwny ungo na vyote vinaruka nightmare