Form six miaka chini ya 18 ulishaona wapi?Jela huwa haijai.
Shauri yako.
Huyo bado ni mwanafunzi. Na pia mara nyingi utakuta yuko chini ya miaka 18.
Ohoo nimekosa mimi. Nimekosa mimi.Form six miaka chini ya 18 ulishaona wapi?
Subiri achukue cheti kwanzaIkiwa mtoto wa kike ameshamaliza mtihani wa kidato cha sita kabla ya matokeo ya mtihani anaweza akaolewa? Naomba kujua
😂😂hauwezi kuolewa
Mkuu,Ikiwa mtoto wa kike ameshamaliza mtihani wa kidato cha sita kabla ya matokeo ya mtihani anaweza akaolewa? Naomba kujua
nakazia.... usijaribu, moto utakuwakia 😂Jela huwa haijai.
Shauri yako.
Ikiwa mtoto wa kike ameshamaliza mtihani wa kidato cha sita kabla ya matokeo ya mtihani anaweza akaolewa? Naomba kujua
Mimi nimeshuhudia mtu kamaliza form 4 kafungishwa ndoa na mziki mkubwa tu mpaka asubuhi maaamuzi tuIkiwa mtoto wa kike ameshamaliza mtihani wa kidato cha sita kabla ya matokeo ya mtihani anaweza akaolewa? Naomba kujua
16 na 17 inamaanisha walimaliza form 4 wakiwa na miaka 13 mpaka 14 hawa huwa very rare ni wale waliovuka vuka darasa na huwa hawapo wengi TUNAONGELEA MAJORITY Ambao wanamaliza 6 wakiwa 19 na 20+.Mkuu,
Matokeo hutoka ndani ya miezi mitatu tu. Kama umeweza kusubiri kwa kipindi chote, ya nini kujitia majaribuni ndani ya muda huo mchache.
Uhakika ni kuwa, hakuna tatizo lolote tena kwa sasa. Huyo anasubiri kwenda Chuo Kikuu ama Chuo cha kati. Kama wazazi wake wameridhia basi hakuna shaka. Nina uhakika binti aliyemaliza Form Six, kwa mwenendo wa Elimu yetu atakuwa na miaka 18+. Japo wapo wa 16 na 17, hao waepuke kwa muda.
Naam, ni wachache lakini wapo.16 na 17 inamaanisha walimaliza form 4 wakiwa na miaka 13 mpaka 14 hawa huwa very rare ni wale waliovuka vuka darasa na huwa hawapo wengi TUNAONGELEA MAJORITY Ambao wanamaliza 6 wakiwa 19 na 20+.
Hata hivyo tuki assume labda amemaliza six na miaka 16 -17 akaenda chuo unsdhani atakuwa chini ya uangalizi wa serikali?
haifiki miezi mitatu, mwezi wa saba tuhapo matokeo yanatoka, asubiriMkuu,
Matokeo hutoka ndani ya miezi mitatu tu. Kama umeweza kusubiri kwa kipindi chote, ya nini kujitia majaribuni ndani ya muda huo mchache.
Uhakika ni kuwa, hakuna tatizo lolote tena kwa sasa. Huyo anasubiri kwenda Chuo Kikuu ama Chuo cha kati. Kama wazazi wake wameridhia basi hakuna shaka. Nina uhakika binti aliyemaliza Form Six, kwa mwenendo wa Elimu yetu atakuwa na miaka 18+. Japo wapo wa 16 na 17, hao waepuke kwa muda.
Nimesema ndani ya miezi mitatu. Mwezi wa saba ni miezi miwili na points.haifiki miezi mitatu, mwezi wa saba tuhapo matokeo yanatoka, asubiri