Jana kwenye taarifa ya habari ya TBC - Habari za biashara, Mh Mkulo alisema kuanzia sasa furniture za wizara zote zitanunuliwa kutoka nchini!
Sasa sikuelewa (Au inawezekana nilisikia vibaya) kwamba watu waimport na kuiuzia serikali au watengeneze na kuiuzia serikali?!
Kama itakuwa ni kutengeneza hapa nchi kwa kutumia mali ghafi tulizonazo na kuiuzia serikali, then hiyo ni step kubwa sana katika kuongeza mzunguko wa fedha hapa nchi. Naipa serikali heko kwa hilo. Itazalisha kazi nyingi kwa hilo.
Ila kama ni tofauti na nnavyo fikiri (kuruhusu watu waimport na kisha kununua toka kwao), then sioni kama kuna la maana.
Sasa sikuelewa (Au inawezekana nilisikia vibaya) kwamba watu waimport na kuiuzia serikali au watengeneze na kuiuzia serikali?!
Kama itakuwa ni kutengeneza hapa nchi kwa kutumia mali ghafi tulizonazo na kuiuzia serikali, then hiyo ni step kubwa sana katika kuongeza mzunguko wa fedha hapa nchi. Naipa serikali heko kwa hilo. Itazalisha kazi nyingi kwa hilo.
Ila kama ni tofauti na nnavyo fikiri (kuruhusu watu waimport na kisha kununua toka kwao), then sioni kama kuna la maana.