Mjomba wa taifa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 231
- 161
Ndugu wanaJF hii ni taarifa kuwa, mtu aliekabidhiwa jukumu la kukusanya wazee Wa Dar es salaam ili kwenda kujaza ukumbi Wa Diamond Jubilee kumsikiliza Rais akihutubua amewekwa kikaangoni na kibarua change kipo kikaangoni.
Habari zilizopo mezani ni kuwa mzee ametaka Mara moja kujua ni nani alieleta watu wale maana si wazee wa DSM ambao mzee amewazoea wa kupiga vigelegele na Makofi. Habari za kuaminika ni kuwa aliepewa jukumu la kukusanya wazee aliingizwa town baada ya kutoa tenda kwa vijana wa chuo cha mwalimu nyerere Kigamboni, bahati mbaya wakaleta wazee toka Mji mwema ambayo ni Kambi ya UKAWa. Kilichotokea ukumbini Leo hii ni tofauti-na ilivyozoeleka maana wazee walikuwa active muda wote na bila kushangilia kila asemalo mzee.
Kibaya zaidi ni pale walipomfanya mzee abadili msimamo kwa kuona upepo umechange ukumbini ikabidi mzee apate kigugumizi ghafla na kujikuta akimmwaga pasipo kupanga mama Tibaijuka.
Kitendo walicho kifanya wazee kwa kumkazia macho na miguno ya hapa na pale huenda jiji la DSM likapoteza tena nafasi ya wazee kuongea na Raids, tayari kuna fununu kuwa mikutano mingine yote mzee ataongea na wazee Wa Dodoma tu.
Habari zilizopo mezani ni kuwa mzee ametaka Mara moja kujua ni nani alieleta watu wale maana si wazee wa DSM ambao mzee amewazoea wa kupiga vigelegele na Makofi. Habari za kuaminika ni kuwa aliepewa jukumu la kukusanya wazee aliingizwa town baada ya kutoa tenda kwa vijana wa chuo cha mwalimu nyerere Kigamboni, bahati mbaya wakaleta wazee toka Mji mwema ambayo ni Kambi ya UKAWa. Kilichotokea ukumbini Leo hii ni tofauti-na ilivyozoeleka maana wazee walikuwa active muda wote na bila kushangilia kila asemalo mzee.
Kibaya zaidi ni pale walipomfanya mzee abadili msimamo kwa kuona upepo umechange ukumbini ikabidi mzee apate kigugumizi ghafla na kujikuta akimmwaga pasipo kupanga mama Tibaijuka.
Kitendo walicho kifanya wazee kwa kumkazia macho na miguno ya hapa na pale huenda jiji la DSM likapoteza tena nafasi ya wazee kuongea na Raids, tayari kuna fununu kuwa mikutano mingine yote mzee ataongea na wazee Wa Dodoma tu.