Alichokifanya Ngozi


Hata baba wa wanawe ukimuachia fursa eti ya kumtoa outing binti yake mpaka saa nane za usiku ujuwe hamuachi, labda awe siyo rijali.

Tumeyaona mengi. Mabinti wengi huanza kulishwa uroda na watu wa karibu kabisa majumbani mwao. Hususan baba zao.

Psychologically, visichana vinapoanza kiherehere kiranga huwa kwa baba zao na vivulana huanza kiherehere na Kiranga huwa kwa mama zao.

Watoto ni kuwalinda sana ndani mwao kuliko nje.

Hata vya kiume vingi huanza, ashaakum si matusi, kuharibiwa na watu wao wa karibu.

*kiranga = nyege
 
Kweli,mengi nimeona na kusikia jinsi gani mabinti huaribiwa na baba zao.

Hata hivyo huwa nashindwa kabisa kuelewa,inakuwa vipi hadi binti akubali kufanya machafu na baba yake?
Yako wapi maadili jamani!
Na kama yakitokea haya mimi lawama zangu huzipeleka kwa binti.
Maana niaminivyo (ndivyo ilivyo) wanaume wote ni washenzi.

Binafsi nampenda sana baba yangu.
Lakini sijawahi kumkumbatia wala kumbusu hata siku 1,namuogopa na kumheshimu sana.
Sasa nikisikia mtu katoka na baba yake kimapenzi na nikijenga picha iliyopo kati yangu mimi na baba yangu huwa nachoka kabisa.

Na yote yanachangiwa na haya mambo ya kizungu,mara binti kakaa kihasara hasara mbele ya mzee,mabusu n.k


Ila nimeshikwa na shauku ya kujua wavulana huaribiwa vipi?
Na mama zao?
Ni nadra sana kusikia kijana yuko katika mapenzi na mama yake.
Pongezi kwa wanawake.
 
Inaelekea mama mdogo alishindwa kuchunga mzigo wake mwenyewe, lakini Ngozi hakuwa binti mdogo, angeweza kukataa hata kutishia yule baba kuwa nitamwambia mkeo. Hakuwa na adabu, lakini hivi vibinti vya siku hizi vina tamaa ya pesa.
 
nahisi kama kuna mtu anapewa ujumbe hapa.tena laiv.
 
Umeongea point kubwa sana.... Haiwezekani mwanaume rijali apewe mtoto mbichi aende kumnywesha halafu amrudishe salama salimini... Itakua si uungwana kabsa... Haki imetendeka..

Jacob Zuma kwenye ile kesi yake ya kubaka aliwaambia mahakama "ni kweli nilifanya mapenzi na huyu binti, ila kwa sisi wazulu haiwezekani mwanamke aingie kwako na kanga moja na umuache itakua si haki, nilimtongoza na akakubali kwa hiari yake"

Kumalizia
NAUNGA MKONO HOJA
 
mara nyingine unakuwa na pointi hadi basi,umeongea fakti 100%
 
Mara nyingi sana wazazi huwa tunakosea inapotokea inshu kama hzo
Utasikiliza na kutetea upande wa mtt wako pasipo kujali kama how much unamuumiza mtu wa pili
Huwa tunaona kama watoto wetu ni malaika sana na hawawezi kutenda mambo kama hayo
 

Ni kweli ukiacha mambo ya siasa kwenye maadilii namkubali sana Faiza!!
 
Inaelekea mama mdogo alishindwa kuchunga mzigo wake mwenyewe, lakini Ngozi hakuwa binti mdogo, angeweza kukataa hata kutishia yule baba kuwa nitamwambia mkeo. Hakuwa na adabu, lakini hivi vibinti vya siku hizi vina tamaa ya pesa.
lakini kumbuka kuwa walikuwa wakienda baa,
 
lakini kumbuka kuwa walikuwa wakienda baa,

Kama baa ni kusocialize kwani Ngozi haendi baa na marafiki zake wa chuo? Akiwa kama mwanafunzi wa chuo hajajua social outing basi anatatizo.
 
Huyu ngoz nae bwege anapigwaje mambo mpaka anasahau pichu bana
 

Wote ni washenzi tu hao, kwani hawajielewi wakoje? Maumivu ni kwa mama mdogo ...
mbona pole hakuna maadili na hilo bint halijatul
a na ji baba ni fox la kutupwa..!
 
Uzungu unawasumbua
 
My take, wasichana wajue jinsi ya kujicontrol, mitoko inaweza ikawa sehemu ya kibarua, sasa kama kila ukitoka yanatokea haya itabidi magazeti ya Shigongo yauze sana.
 

You just had to go there?

If the "kiranga" you were referring to is nyege, why did you have to tag me Kiranga ?

Along the shores of Lake Tanganyika, Kiranga is a devilish deity.

Tell me how am I not supposed to interpret this as libel against Kiranga the JF member?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…