Lattafa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2025
- 497
- 733
Hana chochote post zake nimekutana nazo nyingi ni yadayada hakuna code wala whistle blowing.Mkuu,, mimi nimeleta alichokiandika kule X....ili nipate mawazo na kujifunza sio kama nafungamana naye
Hana chochote post zake nimekutana nazo nyingi ni yadayada hakuna code wala whistle blowing.Mkuu,, mimi nimeleta alichokiandika kule X....ili nipate mawazo na kujifunza sio kama nafungamana naye
Unaweza kuleta huo mkeka wake hapaMkuu,,, binafsi sijui....ila kinachomfanya nimfatilie ni ule mkeka wake ambao mpaka sasa unapumua......watu kawa hawa ni lazima uwazingatie hasa ukizingatia yupo low profile,,,
Dah qqmk nimemkumbuka. Dah jamaa alishanitokaga kichwani nishamzikaga. Asante mkuu.Ni yule jamaa alihusika kwenye deal kubwa la upigaji BOT Kisha wakatengeneza script kwamba amekufa akiwa Ughaibuni baadae wajanja wakastukia mwamba yuko hai anakula maisha huko Ughaibuni
Naungana na wewe kwenye mkombiMimi maombi yangu kwa sasa ni Jeshi lichukue nchi tu. Lihitimishe huu utawala wa mafisadi ccm
Kwenye sakata la Gavana Bilal, Rais alikuwa Kikwete.Rais akiwa nani?
Ndo maana hata leo tupo hapa ana kazi za kuficha uchafu kwanl kuweka Marais dhaifu!