ipo siku utakufa
Senior Member
- Dec 8, 2016
- 146
- 529
Mayay ukimsikiliza utajua kama jamaa ana vision na mipango thabitiTuwekeeni CV yake basi hapa porojo nyingi hatutaki. Hata Michel Platin alikuwa mchezaji hodari uwanjani lakini lilipokuwa swala la uongozi wa chama cha mpira/UEFA lilimshinda na akatia aibu kubwa sana.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Ndio