Mvumo wa radi ina uzuri gani ?Hivi views huwa zina maana gani
Maana iyena na mvumo wa radi nyimbo kali ni mvumo wa radi
Audio za diamond hazijawahi kuvutia toka utoke sijawahi kuusikia redioniMvumo wa radi ina uzuri gani ?
Una pepo la ngonoMi mwenyewe nautazama kwa sababu hiyo tu mkuu hakuna kingine cha ziada
Si unajua zawadi ya kudumu kwa msichana au mwanamke ni wowowo sisi wanaume huwa tunachanganyikiwa hapo tuUna pepo la ngono
Siungi mkono hoja hii.Si unajua zawadi ya kudumu kwa msichana au mwanamke ni wowowo sisi wanaume huwa tunachanganyikiwa hapo tu
ni halali as long as wamelipana na tv station husika na they are okay.Kushinda masaa 18 kwenye Redio/TV ni halali ee? Wakati wasanii wengine wazuri tu wanalilia promo hata ya dakika 20 hawaipati
Sio lazima uunge mkono ila huo ndio ukweliSiungi mkono hoja hii.
Shukuruni Zari yupo,vinginevyo hata views laki msingefikishaDuuh....Nasikia Wanadharau sana...yaani hata kuonekana hawaitaj
Ndio anataka kukuoaUmeoa au Umeolewa
Duuh mbona sasa mi nishapata mke...na pia Desturi hailuhusuNdio nataka Unioe
Basi kasikilize gospelni halali as long as wamelipana na tv station husika na they are okay.
Usifananishe hilo swala na kuukikisha wimbo kwa mitusi na kudhalilishana kwenye mitandao ya kijamii eti kisa uongelewe.
Kuwaumiz na kuwatoa sadaka wengine kwa kutengeneza skendo za kijinga eti kisa wimbo uangaliwe kwa gharama za kuwatoa machozi wengine
Mnapima vipi ubora wa wimbo wenu kama hauna millage za kueleweka?Management haitafuti views, ubora wa wimbo ndio utakaokupa views (Sote tunafahamu hili). Vilevile tukumbuke tu kwamba wimbo wa Alikiba uliwahi simamishiwa zile views zake. Japo sijui kama walifanikiwa kuzirudisha au laah.
HahahaDuuh mbona sasa mi nishapata mme...na pia Desturi hailuhusu
Duuh Magu...punguza kunyoosha watu mpaka vidume vyaomba kuolewa....Hahaha na Mimi nataka unioe plz...jomon
Na ile SIKOMI ya juzi tu hapa lakini ina views 18M huku ikiwa imeburuza nyimbo zote za Ali Kiba... je, hizo 18M Views zimetokana na kudhalilishwa nani?Hata ningekuwa mm ndo alikiba kama kupata views wengi ni kwa gharama ya kudhalilisha na kuumiza watu kisa nipate kiki, hell no wacha nibaki na mashabiki zangu genuine wananitosha.
Sometimes cha halali kina thamani kuliko cha kuforce kwa kik za kishamba
Mkuu akikujibu ni tagNa ile SIKOMI ya juzi tu hapa lakini ina views 18M huku ikiwa imeburuza nyimbo zote za Ali Kiba... je, hizo 18M Views zimetokana na kudhalilishwa nani?
Je kwenye Sikomi, African beauty, kwangwaru Hallelujah (hii ilivunja record masaa 15 views 1M) vipi Zari alikuwemo???Shukuruni Zari yupo,vinginevyo hata views laki msingefikisha