Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,688
- 106,829
Raphael wa Ureno nini kilimpata?Alikiba tangu alipoanza kwenda Mombasa uwezo wake wa Muziki umeshuka sana.
Raphael wa Ureno nini kilimpata?Alikiba tangu alipoanza kwenda Mombasa uwezo wake wa Muziki umeshuka sana.
Kiba alisema mvumo wa radi ni wimbo kwa ajili ya promosheni ya kinywaji chake Mofaya..hata Sony music hawajausika...sasa wimbo wa diamond Karanga ulipata views ngapi?????Huo wimbo ni mzuri kwa Ruge na clouds, no more. Kiba ni kadagaa mchele kwa Mond
Kiba kakosa mbeleko ya wcb ndio maana views zimepoa plus wimbo hauja bamba.
Diamond aachwe kufananishwa na watu wengine.
Management haitafuti views, ubora wa wimbo ndio utakaokupa views (Sote tunafahamu hili). Vilevile tukumbuke tu kwamba wimbo wa Alikiba uliwahi simamishiwa zile views zake. Japo sijui kama walifanikiwa kuzirudisha au laah.
Wambie watanzania zilisimama kwanini? Zilisimama kwa sababu ya kununua views fake.....Iyena Imebebwa Na Kik ya Zari, Alafu kumbuka wimbo wa kiba Views zilisimama kwa saa 24 namb haziongezeki zimeganda vilele then zikaja zikapungua.
Unajua nini babu! Alikibanio hana akili hio hapo alipo ndio akili yake ilipoishia. so hawez amka tena.Mimi sio mshabiki wa hawa madogo. Ila samtaimz nayasikiliza manyimbo yao. Nimegundua Dayamondi ana manyimbo meeengi na Alikiba na tunyimbo tuchaaaache.
Nashindwa kuelewa kwanini hawa madogo wanalinganishwa.
Hawana sababu yoyote ile ya kulinganishwa au kufananishwa maana wako mafungu mawili tofauti kabisa .
Kibaboy ni entertainer wakati dayaboy ni business oriented...
Kwa mustakabali huu.. Kiba atasubiri sana linapokuja swala la muziki wa kibiashara... wakati huohuo akae akijua Dayamondi sio level yake kwenye umaarufu.
Na wakati huohuo Dayamondi akae akijua kibaboy akiamka akaamua afanye yale anayoyafanya yeye... Dayamond atasubiri miaka 800.
Nimeandika mimi babu kwa ajili ya wajukuu zangu.
Ngoja nimalizie matikiti yangu
kibakuli anabebwa na media power,na haters wa mondi bt now katoa mashudu.Habari wadau..
Mimi mshabiki wa sanaa nimeshangaa sana mvumo wa radi kutoka almost a month sasa ina views 2.5m na hapo hapo iyena imetoka 4 days ago ina 2.6m.
Management ya king wanakosea wapi maana walishinda redioni siku nzima na tv huku wenzao wametengeneza drama tu za mawifi na wakwe
Nini tatizo ni management ya king au ubunifu wa madale
hujioneshi ila watu wanaona wenyewe!Kiba ana views wengi ila hapendi tu kujionyesha
Hata ningekuwa mm ndo alikiba kama kupata views wengi ni kwa gharama ya kudhalilisha na kuumiza watu kisa nipate kiki, hell no wacha nibaki na mashabiki zangu genuine wananitosha.Si kwa kiki hizi tunazoshuhudia kutoka familia nzima ya wasafi ukianza na Dr. mama Dai, Dada Dai, Mzazi mwenza wa Dai, mchepuko wa Dai, meneja wa Dai, watoto wa wasafi... Lazima views zipande.
Kushinda masaa 18 kwenye Redio/TV ni halali ee? Wakati wasanii wengine wazuri tu wanalilia promo hata ya dakika 20 hawaipatiHata ningekuwa mm ndo alikiba kama kupata views wengi ni kwa gharama ya kudhalilisha na kuumiza watu kisa nipate kiki, hell no wacha nibaki na mashabiki zangu genuine wananitosha.
Sometimes cha halali kina thamani kuliko cha kuforce kwa kik za kishamba