Wamunzengo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 810
- 321
ha ha haaaa.! duh.! hizi post za zamani zinanipa raha sio siri. yaani uongo unathibitika kabisa dhahiri kuwa ulikuwa uongo.
Kumbe studio ilikuwa ya Bob junior, sasa mbona mnasemaga pimbikiba ndio alitoa kibali diamond arekodiwe ngoma na Bob junior?Mbona povu tena?!
Kwa hiyo hakuwa anaosha vyombo Kwa Studio Kwa bob Junior?!
We kweli uelewa wako upo chini.Kumbe studio ilikuwa ya Bob junior, sasa mbona mnasemaga pimbikiba ndio alitoa kibali diamond arekodiwe ngoma na Bob junior?
hayo maneno uliyoandika hapo juu ndio maana halisi ya neno "Povu"Unajua maana ya povu? Au angalau maana ya msemo wa "povu?"
Acha bhana... basi sawa!hayo maneno uliyoandika hapo juu ndio maana halisi ya neno "Povu"
Kacheze unapochezaga mkuu.Acha bhana... basi sawa!