Ila jamaa anapata mialiko mingi sana! Anatengeneza pesa tu! Nyimbo moja mwaka mzima lakini mialiko kila kukicha,Sijui angekuwa na nyimbo kama 3 au 4 zilizo hit ingekuwaje,maana diamond ametoa nyimbo ili mashabiki wamsikie kuwa yupo,lakini hazina radha na zimebuma.Sio kama ile ya Salome au nitampata ambayo huchoki kuzisikiliza.Ali kiba bure kabisa hatoi nyimbo ye mauzo mengi kuliko kazi wananikasirisha Mimi wanaomlinganisha Ali kiba na diamond ni sawa na kulinganisha hammer na bajaji havilingani kabisa.
Mwenzio anapiga hela ww una andika ushuziAnatembelea nyota ya Wema Sepetu tu
Sawa ila anaboa mashabiki wake sasaIla jamaa anapata mialiko mingi sana! Anatengeneza pesa tu! Nyimbo moja mwaka mzima lakini mialiko kila kukicha,Sijui angekuwa na nyimbo kama 3 au 4 zilizo hit ingekuwaje,maana diamond ametoa nyimbo ili mashabiki wamsikie kuwa yupo,lakini hazina radha na zimebuma.Sio kama ile ya Salome au nitampata ambayo huchoki kuzisikiliza.
Ila jamaa anapata mialiko mingi sana! Anatengeneza pesa tu! Nyimbo moja mwaka mzima lakini mialiko kila kukicha,Sijui angekuwa na nyimbo kama 3 au 4 zilizo hit ingekuwaje,maana diamond ametoa nyimbo ili mashabiki wamsikie kuwa yupo,lakini hazina radha na zimebuma.Sio kama ile ya Salome au nitampata ambayo huchoki kuzisikiliza.
Nilishapambana zamani mkuu! Sasa hivi nakula matunda,kazi kwako wewe unaetegemea ugali wa wazazi.Pambana na hali yako mzee, acha kumuota mwanaume mwenzio kila kukicha
Yeah! Sahihi kabisa mkuu,mashabiki wake wanatoa povu hatariii.hahahahaSawa ila anaboa mashabiki wake sasa
Mialiko ya mombasa?Ila jamaa anapata mialiko mingi sana! Anatengeneza pesa tu! Nyimbo moja mwaka mzima lakini mialiko kila kukicha,Sijui angekuwa na nyimbo kama 3 au 4 zilizo hit ingekuwaje,maana diamond ametoa nyimbo ili mashabiki wamsikie kuwa yupo,lakini hazina radha na zimebuma.Sio kama ile ya Salome au nitampata ambayo huchoki kuzisikiliza.
Ni mualiko pia!Mialiko ya mombasa?
ile ziara ya marekani iliobuma iliishia wapiNi mualiko pia!
Muulize manager wake!ile ziara ya marekani iliobuma iliishia wapi
Nilishapambana zamani mkuu! Sasa hivi nakula matunda,kazi kwako wewe unaetegemea ugali wa wazazi.
Nadhani ndiye aliyefadhili hiko chakula!Hahahaaaa! Karibu tule ugali wa wazazi. Ila Diamond atakuwepo