Hivi jamani huyu mpuuzi gigy money kwenye hii Friday night live ya EATV mnamuona anavyokera au ni mimi tu?
Hashuo tu hata hawezi kuhost kipindi wala nini.
Hivi jamani huyu mpuuzi gigy money kwenye hii Friday night live ya EATV mnamuona anavyokera au ni mimi tu?
Hashuo tu hata hawezi kuhost kipindi wala nini.
Kumbe na wewe umemwona kaniboaje sasa. Mfyuuu hajui kuuliza maswali kavaa mbano mwili hauendani na NY...... Zake na minywele mi hadi nimeacha kuangalia. Hivi ndo mtangazaji au?