Mr Alpha
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 283
- 804
Jumla ya wachezaji 30 wameitwa timu ya taifa na kila mmoja ametoa mchango wake kwa nafasi yake. Sasa mbona ghafla topic yote imegeuzwa Kagoma pekee? Kwanini isiwe Mzize au Feisali waliokuwa wachezaji bora wa mechi mbili?
Yaani mnashadadia Kagoma mpaka mnachapisha T-shirt na jezi – lengo ni kumpa presha ya mechi au mnataka akagonge sana apate kadi nyekundu ili matokeo yakiharibika lawama zimwangukie?
Acheni upuuzi. Kama mmeamua kuhamasisha, hamasisheni timu nzima siyo kuchagua mtu mmoja.
Yaani mnashadadia Kagoma mpaka mnachapisha T-shirt na jezi – lengo ni kumpa presha ya mechi au mnataka akagonge sana apate kadi nyekundu ili matokeo yakiharibika lawama zimwangukie?
Acheni upuuzi. Kama mmeamua kuhamasisha, hamasisheni timu nzima siyo kuchagua mtu mmoja.