Ali Kamwe ameoa lakini akili bado zero

Ali Kamwe ameoa lakini akili bado zero

Mr Alpha

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
283
Reaction score
804
Jumla ya wachezaji 30 wameitwa timu ya taifa na kila mmoja ametoa mchango wake kwa nafasi yake. Sasa mbona ghafla topic yote imegeuzwa Kagoma pekee? Kwanini isiwe Mzize au Feisali waliokuwa wachezaji bora wa mechi mbili?

Yaani mnashadadia Kagoma mpaka mnachapisha T-shirt na jezi – lengo ni kumpa presha ya mechi au mnataka akagonge sana apate kadi nyekundu ili matokeo yakiharibika lawama zimwangukie?

Acheni upuuzi. Kama mmeamua kuhamasisha, hamasisheni timu nzima siyo kuchagua mtu mmoja.
 
Wivu tu ...!

Kwa Sababu Kagoma aligoma Kusajiliwa Yanga...!

Ni Wivu tu ....!

Hamna kingine.!
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Jumla ya wachezaji 30 wameitwa timu ya taifa na kila mmoja ametoa mchango wake kwa nafasi yake. Sasa mbona ghafla topic yote imegeuzwa Kagoma pekee? Kwanini isiwe Mzize au Feisali waliokuwa wachezaji bora wa mechi mbili?

Yaani mnashadadia Kagoma mpaka mnachapisha T-shirt na jezi – lengo ni kumpa presha ya mechi au mnataka akagonge sana apate kadi nyekundu ili matokeo yakiharibika lawama zimwangukie?

Acheni upuuzi. Kama mmeamua kuhamasisha, hamasisheni timu nzima siyo kuchagua mtu mmoja.
Binafsi sijaelewa kuna nini? Ufafanuzi please.
 
Jumla ya wachezaji 30 wameitwa timu ya taifa na kila mmoja ametoa mchango wake kwa nafasi yake. Sasa mbona ghafla topic yote imegeuzwa Kagoma pekee? Kwanini isiwe Mzize au Feisali waliokuwa wachezaji bora wa mechi mbili?

Yaani mnashadadia Kagoma mpaka mnachapisha T-shirt na jezi – lengo ni kumpa presha ya mechi au mnataka akagonge sana apate kadi nyekundu ili matokeo yakiharibika lawama zimwangukie?

Acheni upuuzi. Kama mmeamua kuhamasisha, hamasisheni timu nzima siyo kuchagua mtu mmoja.
Aliekwambiaaaa

Ndoaa n PhD

Nani??

Oa uone

Utafuta huu uzi

😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 😂 😆 😄
 
Jumla ya wachezaji 30 wameitwa timu ya taifa na kila mmoja ametoa mchango wake kwa nafasi yake. Sasa mbona ghafla topic yote imegeuzwa Kagoma pekee? Kwanini isiwe Mzize au Feisali waliokuwa wachezaji bora wa mechi mbili?

Yaani mnashadadia Kagoma mpaka mnachapisha T-shirt na jezi – lengo ni kumpa presha ya mechi au mnataka akagonge sana apate kadi nyekundu ili matokeo yakiharibika lawama zimwangukie?

Acheni upuuzi. Kama mmeamua kuhamasisha, hamasisheni timu nzima siyo kuchagua mtu mmoja.
Sasa hapa kuoa kwa Ali Kamwe kumeingiaje aiseee? Labda ufafanue zaidi?
 
Jumla ya wachezaji 30 wameitwa timu ya taifa na kila mmoja ametoa mchango wake kwa nafasi yake. Sasa mbona ghafla topic yote imegeuzwa Kagoma pekee? Kwanini isiwe Mzize au Feisali waliokuwa wachezaji bora wa mechi mbili?

Yaani mnashadadia Kagoma mpaka mnachapisha T-shirt na jezi – lengo ni kumpa presha ya mechi au mnataka akagonge sana apate kadi nyekundu ili matokeo yakiharibika lawama zimwangukie?

Acheni upuuzi. Kama mmeamua kuhamasisha, hamasisheni timu nzima siyo kuchagua mtu mmoja.
Ulichopost hakieleweki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom