dah hii inazidi kutia morari kwa unemployed ones kuwa tusikate tamaaa, since 2011 ni muda kitambo. Nami naapa sintokata tamaa nitapigana hadi mwisho wa uhai wangu. HONGERA SANA.
Ahsante kwa kushukuru,endelea kushukuru ,watendee haki kila mwenye kutaka huduma kupitia utumishi wako ktk ofisi za umma,piga vita rushwa kwa vitendo na usishiriki kwa lolote linalohusiana na ufisadi,Ukizingatia haya Mwenyezi mungu atakuongoza na kukuzidishia kila la kheri Daima!