Muweza wa Kila kitu vilivyo dhahiri na vya sirini, Amin.Alhamdulillah
Ee Allah, sifa njema zote ni zako
Tumevuka salama wakati askari wa Samia wameua maelfu ya Watanganyika? Wazanzibari mna ushetani mwingi sana .Alhamdulillah
Ee Allah, sifa njema zote ni zako.
Tumevuka salama
Nilidhani kila kitu anapanga Allah kama msemavyo kumbe sifa njema tu, na mbaya usiache kumpa pia usimpunje chake.Alhamdulillah
Ee Allah, sifa njema zote ni zako.
Tumevuka salama
Dah we jamaa 😄Sharif Majin kumbe bado unaishi ?
Kuna mwarabu mmoja kwenye ndege alianza kusema Allah akbar! Abiria wengine wakaingiwa na taharuki wakajua ni mlipuaji wa kujitoa mhanga...😂Alah ameua watu wengi sana wala sina hamu naye.amemwua mpaka mfuasi wake shekhe majini.sina imani na alah