Brice85
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 869
- 1,752
Mkuu ni kama umeandika ukiwa na hasira sana. Lkn kilichoandikwa ni tofauti na ulichochangia.Mtahangaika sana ila hakuna kitakachobadilika.
Na mjuwe live mnajiandalia kesho yenu ingine ya visasi.
Sababu utawala huo utabadilika na siyo kila atakayekuja atakuwa mshikiwa Remote kutoka Msoga Gang!
Mark my words!
Na muda ni Shahidi mzuri,sio kila amayekomolewa kwamba hana wanaouona huu ujimga unaoendelea.
Tena itakapowadia zamu yenu,itakuwa chungu sana.
Nimepita na sintamj8bu yeyote!
Mkono wa haki nao ni kisasi?
Au wewe ndio mwenye picha mbele ya hilo jarida?
Kwa kuwa umepita tu nami napita tu lakini usihukumu