Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,777
- 24,211
Nilishawahi kusema magolikipa wetu wana vitu vingi sana vya kujifunza kwa @djiguidiarraofficial kutoka na aina yake ya kudaka,moja kitu ambacho kinawasumbua magolikipa wetu wa nyumbani ni "FOOT WORK" kwa Diarra ni bora sana kwenye foot work yake.
Kitendo cha Diarra kuwa mlinda mlango namba moja kwenye kikosi cha Mali timu ambayo ina wachezaji wengi wazuri na wanacheza soka la ulaya lakini mlinda mlango wao anatoka kwenye klabu inayotoka Afrika Mashariki kwenye timu ambayo haina historia kwenye michuano ya kimataifa hii ni bahati sana kwetu -
@alexngereza._ na @boiboimkali
NB: Maendeleo hayana Chama..japo Mimi ni mwanasimba ila hapa ni ukweli mtupu
Cc: Kalpana
Kitendo cha Diarra kuwa mlinda mlango namba moja kwenye kikosi cha Mali timu ambayo ina wachezaji wengi wazuri na wanacheza soka la ulaya lakini mlinda mlango wao anatoka kwenye klabu inayotoka Afrika Mashariki kwenye timu ambayo haina historia kwenye michuano ya kimataifa hii ni bahati sana kwetu -
@alexngereza._ na @boiboimkali
NB: Maendeleo hayana Chama..japo Mimi ni mwanasimba ila hapa ni ukweli mtupu
Cc: Kalpana