Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,492
Baada ya Al Ahly kutua airport huku wakionekana wamebeba mapipa makubwa kuelekea mchezo wa dhidi ya Simba, mwandishi mkongwe wa michezo kutoka Clouds Fm, Alex Luambano apigwa na butwaa.
Sijawahi kuwaona Real Madrid wakiwa wamebeba mapipa, sasa hii Al Ahly ambayo ni miongoni mwa timu kubwa Afrika inabebaje mapipa? Waache mikwara.
My take:
Mapipa wamebeba maji na chakula chao, sasa kesho wakipigwa sijui watasingizia hujuma gani?
Sijawahi kuwaona Real Madrid wakiwa wamebeba mapipa, sasa hii Al Ahly ambayo ni miongoni mwa timu kubwa Afrika inabebaje mapipa? Waache mikwara.
My take:
Mapipa wamebeba maji na chakula chao, sasa kesho wakipigwa sijui watasingizia hujuma gani?