Nashukuru sana mdau, kwa kweli me kosa langu lilikua ni kuwaamini hawa jamaa na pia nimeshafanya biashara mara nyngi tu hapo Mlimani City na sijawahi pata hii zarau na deals zote zilikuwa znaclose pia normally huwa naku na company ila jna niliku mwenyewe tu,naamini kabisa ktk yote ya uzembe,ujinga etc lakini lengo langu ni kujulisha wadau wengine na kuwapa tahadhari wasije fanya mistake kama hii yangu. Kiongozi ningependa kukujuza kwamba Wanaokosea si wote hawana akili ndo maana nikaleta hpa jamvini kwa ajili ya kukosolewa,kusaidiwa,kuelekezwa,na si kutusiwa ya nguoni,I wonder why other people don't understand my courage an desire to help others not be trapped foolishly like this. Thanks for your disappointment character though!!