Pass Master
Member
- Sep 18, 2020
- 94
- 58
Wakuu umeona ujio wa Davido???
Baada ya hasimu wake kuachia Album ya Made In Lagos(Wizkidayo)
Mtu mzima Davido ameachia Album yake ya A Better time ikiwa na ngoma 17.
Chris Brown,Nick Minaj,Young Thung na Nas wasanii wakimataifa walioshiriki humo..
Afrika mashariki Sauti Soul tu ndio wameshiriki,kumbuka Sauti Soul walikuwepo kwenye Album ya Patoranking,Burna Boy leo hii kwa mtu mzima Davido🙌
Wangapi tumebahatika kuipa sikio???
Baada ya hasimu wake kuachia Album ya Made In Lagos(Wizkidayo)
Mtu mzima Davido ameachia Album yake ya A Better time ikiwa na ngoma 17.
Chris Brown,Nick Minaj,Young Thung na Nas wasanii wakimataifa walioshiriki humo..
Afrika mashariki Sauti Soul tu ndio wameshiriki,kumbuka Sauti Soul walikuwepo kwenye Album ya Patoranking,Burna Boy leo hii kwa mtu mzima Davido🙌
Wangapi tumebahatika kuipa sikio???