Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
- Thread starter
- #21
Hapo umenena, yaani inasikitisha kuona tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele wakati viongozi wetu wanaonekana wanaridhika na 'maendeleo'...mimi binafsi naamini serikali imefanya kidogo sana so far kuwaadabisha wauaji wa hawa albino. We have weak administration in everyway.