Albert Msando apotoka tena

Sasa unataka kuanza kujenga hoja na mtu ambaye ni zero!. Hufahamu kama wewe utaonekana ndiyo zero kabisa kwa watu wenye fikra pevu kuanza kujenga hoja na mtu ambaye ni zero!.

Mtafute mtu ambaye siyo zero na hana longo longo ili uanze kujenga hoja naye!

Niache tu niendelee na zero yangu yenye longolongo.

Thanks.
 

Msando,

1. Hujajibu hoja zangu zote nilizojenga toka ulete haya majibu yako mepesi.

2. Mashtaka 11 majibu yake ndiyo haya ya kukata rufaa? Au ndio kusema hujui kuwa taarifa zote za Baraza Kuu lazima kwanza zipite kwenye Kamati Kuu kama Chombo cha Utendaji cha Baraza hilo?

3. Vipi kuhusu Kanuni za Madiwani kama nilivyorejea zinavyokutaka kuwa mwaminifu kwa Chama nje na ndani ya Halmashauri?

4. Vipi kuhusu Kanuni ya 10.1 (xi) ambayo inatamka dhahiri kuwa Kiongozi anatakiwa kuheshimu maamuzi ya vikao vya Chama kama hajaridhirika apinge kwa kupitia vikao?

5. Kuhusu kuwatetea mafisadi kama ambavyo Marando amefanya, naomba urejee "Cab Rank Rule" lakini kwa hili wewe una dhamira mbaya dhidi ya Chama.

Naomba kuwasilisha.
 

Msando,
Naomba nitajie kifungu chochote cha kikatiba kinacho ruhusu representation kwenye Maamuzi ya Chama. Kama hairuhusu basi na wewe ni mmoja wapo wa Mhaini. Kwa kuwa katiba haisemi sehemu yoyote kukusu mtuhumiwa ndani ya Chama kutumia Wakili kwenye maamuzi ya Vikao halali vya Chama.
 

Kwa hiyo Nyaga kawa tajiri kwa sababu ya Albedo!? Kwa hiyo Mbowe kawa tajiri kwasababu ya Zitto kweli wewe mana kitu kichwani, Kama Albedo anaishi kwenye nyumba ya Nyaga miaka zaidi ya tano bila kulipa hata sent bili ya maji na umeme kwa Nyaga bado kamwimbia mil 60 bado unatwambia tumwamini huyu mwinzi....
Je unajua utajiri wa Mbowe ulianza lini, kwa akili yako inayokutosha kwendea haja kubwa unaamini Ndesa na Mbowe utajiri wameupata Chadema wameupata chadema....kama kuna utajiri ndani ya hivi vyama kwanini msimshauri Zitto akasajiri chama chake cha chauma ili atajirike kuliko kukihujumu eti anamajina ya walioficha mabilion uswiss ------- kabisa....Tuwekee hapa tuyaone siyo blah blah za kishenzi halafu wapumbavu wana jitokeza kumtetea muuwaji...
Yoyote anae mtetea Zitto maana anaunga mkono mauwaji ya Soweto kwani bila Zitto kusingekuwa na uchaguzi...
 
Siasa za Tanzania zilizojaa personal Hatred zimejengwa na watawala na chama tawala kwa kutoandaa mazingira ya kisasa kwa siasa za upinzani.

Hii siyo an excuse kuendelea na hatred hata kama zilianzishwa na chama tawala.Binadamu tupo duniani kubadilisha mazingira for better na siyo kuendeleza mabaya for worst.

Vijana mnajenga na kuendeleza kujenga mazingira ya siasa za chuki binafsi kwa ujira wa muda mfupi lakini kwa gharama kubwa katika jamii iliyopo na ijayo.

Kila siku mnasema ninyi ni kizazi kipya lakini upya wenu hauleti mabadiliko endelevu zaidi ya kuchochea mifarakano katika jamii iliyowazunguka.

Siasa mmezibadilisha kuwa kisima cha kuchota chuki na kuieneza kwa kuimwagilia katika jamii kwa sababu mnajishikiza kwenye nguzo watu/viongozi badala ya nguzo taasisi.

Nani ameilaumumCHADEMA?. Usitake kuingiza CHADEMA kama taasisi katika malengo ya chuki kwa baadhi ya wanaojiita wanachama wa CHADEMA.

Mimi ninawalaumu baadhi ya vijana wanaojinasibisha kuwa ni wanachama wa vyama vya siasa wakati wengi wao wanasimamia falsafa za baadhi ya viongozi wa vyama kama "survival of the fittest" badala ya survival of the party as an institute.

Hatred ni dhambi kubwa ambayo ina tabia ya kuwatafuna hata waanzilishi. Msije mkaanza kushangaa itakapoanza kuwatafuna ninyi mnaojiita vijana wa CHADEMA.

Yangu macho na masikio.
 

I rest my Case.You nailed it....!
 

Sasa kama unakiri hatred politics zilianzishwa na chama tawala na mfumo wake nilitegemea kwa mtu mwenye weledi na msomi ujadili source na the way forward badala ya kulaumu matendo ya victims.Something must be wrong
 

hivi kwanini mnafikiri MsandoAlberto hana haki ya kuongea? Hivi kusema ukweli ni kupambana na kamati kuu?
 
Last edited by a moderator:
Ulikosea sana kuchukua mwanasheria ambae hajui hata katiba ya chadema inasema nini kuhusu maadili ya viongozi.Taarifa yake kwenye vyombo vya habari ni utata mtupu.Kama kweli Zito alikuwa na nia njema ya kujitetea ingekuwa bora angeenda pale shule ya sheria udsm wakamsaidia.Yule jamaa kama alichokisema kwa waandishi ndicho alichoandika kama majibu ya zito kwa barua aliyopewa na kamati kuu ya chadema, basi Zito asije kulaumu yatakayomkuta katika maisha yake ya siasa.
 

ni kweli hakuna alichokiongea yule
 
Kipengele cha Ukomo wa Uongozi kiling'olewa 2006 ili Mbowe apate kugombea tena.Amekwaa kisiki hivi sasa MPIGANIA DEMOKRASIA NDUGU SAMSON MWIGAMBA amepeleka Katiba ya 2004 kabla ya marekebisho ikionesha Kipengele cha Ukomo wa Uemyekiti then Minutes za Marekebisho ambazo hakuna sehem kuna mabadiliko ya Ukomo wa Uongozi mara Ghafla katiba mpya inachapwa 2006 wameng'oa kienyeji. sasa Jukumu lenu ni kutoa sababu za kung'oa kienyeji baadhi ya Ibara za Katiba SIO ISHU YA ZITTO TENA!
 
Hakuna chochote alichojibu Msando zaidi ya expression of ignorance kwenye Katiba ya Chama.
Kawaambie deal limebuna kaka
 

Kuniona kwa sura?Sijawahi kutamani hata kufahamiana na wewe kwa fikra hizi za kijima ulizoonyesha.Kuna haja gani ya kufahamiana na mtu mwenye fikra za kale karne hii ya sayansi na teknolojia wakati kama ni mambo ya kale tunaweza kuyapata kwenye Museums au archives.I dont wish to meet a primitive chap like you.Nimeshasema ungekua kaka yangu wa damu niliyezaliwa naye ungekua umeniweka katika wakati mgumu sana mimi kama "mdogo wako" (Kama unavyopenda kujinadi) hapa jukwaani

Unaona fahari sana kuniita mdogo wako lakini kwangu ni fedheha kuitwa mdogo wako kwa mtu mwenye fikra duni kama ulizoonyesha hapa hasa fikra za ubaguzi wa kidini na kikabila ndani ya karne hii.


Omar,Ukaka sio vitisho bali ni upevu wa fikra.

Pili,Unasema Utaalamu pekee nilio nao ni wa majungu na blah blah blah ulizoongeza.Sina utaalamu huo labda wewe mwenye uwezo wa kutambua taaluma hiyo na vipaji hivyo

Waalimu wangu wanajua profession yangu.Sijawahi kutafuta namna yoyote ya kubebwa popote.Ninajiamini na nina broad knowledge and experience.Huyo Rafiki yako kipenzi anajua.

Tatu,Kujishusha:Sipo tayari kujishusha na kurudi karne na enzi za ujima.Sipo tayari kupiga magoti kwa wanafiki na wasaliti .Hata mitume na manabii hawajawahi kujishusha mbele ya shetani pamoja na wema wao wote


Nne,Fikra:Huwezi kuwa na moral authority ya kujadili dhana ya mabadiliko ya kifikra au ukombozi ikiwa bado unakaza minyororo ya ubaguzi wa kidini na kikabila.Acha unafiki.


Ndoto za kubadili nchi unatumia njia zipi?Huu ukabila na udini ambao kila mtu anauona hapa?Ndio tunabadili nchi hivyo?

Guys,You need to grow up.You are just a tall guy.Komaa kifikra ili ujikweze na kupata haki ya kuniita 'Mdogo Wangu Ben'.

Kwa umri ulio nao bado unaingia kwenye mitego ya kumjadili Josephine na status yake kama ''Mwenza".Hii ndio strateggy ya kubadili nchi hivi?

Dr.Salim anaheshimika sana.Please,Stop this nonesense.Behave maturely and professionally.

Yaani wewe ndio mbeba mafaili unayejisifu hapa wakati huna chochote unacho-gain kifikra kwa unayembebea mafaili?Hata ikishindikana basi ungesoma hata paper alizotupa kwenye dust bin upate ABCD.

Ungekua illiterate usiyejua hata kusoma ungeeleweka lakini mtu unayemudu hata kuingia JF unanyesha kabisa you're out of touch with reality.

By the way,Siwezi kuwa limbukeni kama unavyodhani maana hujui background yangu.You're so paranoid! Getta fresh air bro!
 
Hii ndio shida ya kuwa kanjanja.Chadema ina watu wasomi wazuri,wachambuzi wazuri na wengine wengi tu.Mbowe ni nani abadilishe katiba bila ridhaa ya baraza kuu la chama?Usipende kutumiwa.Pambana jasho likutoke ule kwa baraka toka kwa Mungu.
 

Kama huu ndio utetezi wao naona kufukuzwa kwao kupo karibu sana! kama katiba ilichakachuliwa,nadhani wao hao ma-MM walikuwa wajumbe wa kamati kuu.swali la kujiuliza je,hawakuwahi kukiona hicho kipengele toka 2006 hadi hadi majuzi? je,hilo swala la katiba wameshawahi kulitolea hoja ndani ya vikao vya CC na kutaka marekebisho? huu utetezi wao ni wa kitoto na upo nje ya mashitaka yao na naliona anguko lao!
 

Unadhani Mh.Mbowe asipogombea ndo chama kinaweza kupewa hawa kalumekenge's wakiongoze? Yaani hawa wasaliti? hata kama kingekuwa chama cha mazuzu nina hakika wasingekubali kuongozwa na hawa mamluki wachumia matumbo.
 
We know what is good for us!Kama tunatakiwa kujivunia vijana hao si ndio ungekasirika kabisa maana misingi ya kilaghai unayoisema kila siku inakua imevunjwa ndani ya CHADEMA na hivyo CCM mngekosa hoja?

Acha unafiki

Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai. Vijana kama Msando wamebaini hilo na wanajitahidi kuweka misingi ya siasa safi ndani ya Chadema.

Mida Eight, kwanini unakumbatia misingi ya kilaghai? Kwanini kama umeshindwa kushirikiana na Msando kuweka misingi ya siasa safi angalau usikae kimya tu?
 

Hapa umemaliza. Mimi sina cha kuongezea.

Cc Josephine
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…