Albert Msando akimuweka sawa Mh Zitto Kabwe juu la "CAG na Spika"

Mathayo Fungo

JF-Expert Member
Nov 13, 2018
319
510
Mh. Zitto, tuwekane sawa kidogo; Suala la CAG na Spika lisiwe la ‘kisiasa’.

Nimesoma barua yako kwa Katibu Mkuu wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola. Pia niliona umesema wewe na wabunge wenzako mmeamua kwenda Mahakamani ili kupata tafsiri kuhusu kinga ya CAG.

Nadhani umeamua kulitumia suala hili ‘kisiasa’ badala ya kusaidia kuliweka sawa kila mmoja alielewe. Hili usilifanye mtaji wa kisiasa.

Wengi tulitaharuki kumsikia Spika akitoa amri kwamba CAG aende akajieleze mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge. Taharuki ilikuwa kubwa kwa sababu Spika alienda mbali kidogo na kusema ingawaje Bunge halina polisi lakini linaweza kutumia pingu endapo mtu atakaidi amri ya kuitwa.

Kwa upande wangu nadhani hakukuwa na sababu ya ‘tone’ aliyotumia Spika kwenye Press ile kwa kuangalia nafasi ya CAG kama ofisi. Na hapo ndio mwisho wa ‘kosa’ la Spika. Haya mengine unayakuza kwa sababu zako za kisiasa.

Maswali ya kujiuliza hapa ni 1. Je CAG ana kinga ya kutokuhojiwa kwa kauli inayosemekana imedhalilisha Bunge kwa mujibu wa Katiba’?. 2. Je Spika amekosea kupeleka suala hilo kwenye Kamati?

Hili sio suala gumu sana kama utaamua kuliangalia bila ushabiki. Majibu ya maswali yote ni HAPANA. CAG hana kinga na Spika hajakosea kulipeleka suala hilo kwenye Kamati kwa uchunguzi.

Zitto wewe kama Mbunge unajua fika hakuna mtu yeyote ambaye anaruhusiwa kulidharau Bunge au mwenendo wa Bunge au Kamati. Kosa hilo dhidi ya Bunge kwa kiingereza ni ‘contempt’.

Mtu yeyote isipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano anaweza kuitwa na Bunge endapo atatenda kosa hilo. Hakuna mwingine mwenye kinga au ruhusa ya kutenda kosa hilo.

Kwa upande wa CAG Katiba haimlindi dhidi ya makosa au mashtaka yeyote isipokuwa tu kutokuingiliwa kwenye utekelezaji wa majukumu yake ya kisheria.

Maswali kwamba 1. Je kauli ya CAG kwamba Bunge ni dhaifu ni utekelezaji wa majukumu yake? na 2. Je kauli hiyo imelidhalilisha Bunge? Yatajibiwa na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge baada ya uchunguzi na kumsikiliza CAG na Spika.

Majibu hayo hayawezi kupatikana bila CAG kwenda mbele ya Kamati. Na kwenda huko haimaanishi Katiba imevunjwa.

Nimalizie kwa kusema kwamba Mahakama au chombo kingine chochote ndani au nje ya nchi haiwezi kuzuia Kamati kutekeleza majukumu yake ya kisheria.

Kauli ya CAG kwamba Bunge ni dhaifu haipo kwenye ripoti yake yoyote. Hakuna ‘uchunguzi’ wowote alioufanya akitekeleza wajibu wake na kugundua kwamba Bunge ni dhaifu. Hajawahi kutoa taarifa rasmi kuhusu udhaifu wa Bunge. Angefanya hivyo angekuwa ametekeleza wajibu wake na asingeingiliwa.

Hakuna sababu yoyote ile kupindisha suala hili kwa sababu tu Spika alitumia kauli ya pingu au alitoa taarifa kabla ya wito wa Kamati. Masuala haya mawili hayaondoi ukweli kwamba CAG hana kinga dhidi ya kauli yake aliyoitoa alipohojiwa.

Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge iachwe ifanye uchunguzi na kuamua kama 1. Kauli hiyo ni udhalilishaji wa Bunge 2. Kauli hiyo ilitolewa wakati CAG anatekeleza majukumu yake.

Alberto Msando.
10.01. 2019
 
Nimefurahi tu umehoji maswali ya msingi ambayo hata mimi nilijiuluza na kila mwenye kufikiri anapaswa kujiuliza hasa matumizi ya neno dhaifu.

Ukweli ni kwamba, hata kumuita mtu dhaifu sio kosa la jinai na si tusi hata kwa sheria za nchi yetu na Bunge kupitia hiyo kamati yake halina mamlaka ya kumuhukumu mtu kwa kuliita dhaifu unless mwanasheria Ana Henga hakusema ukweli kuhusu matumizi ya hilo neno kisheria(nimeweka link ya alichokisema hapo chini).

Nilitaraji wewe kama mwanasheria utuonyesha ni kwa mujibu wa sheria gani ya nchi yetu neno dhaifu ni tusi,kashifa au ni dharau pale linapotumika dhidi ya mtu mwingine au dhidi ya taasi fulani.

Ni imani yangu, tafsiri ya neno "dhaifu" ndio inapaswa kuwa msingi wa hili jambo na neno hilo likioonekane si kosa,basi mjadala mzima unakuwa umeishia hapo na hakuna hata haja ya kuhangaika na Ibara za katiba zinasema nini.

Ana Henga: Neno "dhaifu" sio tusi na wala si kosa la jinai - JamiiForums
 
Kweli akili nywele Upara umechemkaaa ukatoa majibu feki!! Kumtishia na pingu ni dalili za kumzuia asiweze kutekeleza kazi zake vizuri,hata kuitwa vile bila staha ni kutaka kumziba mdomo. Ingeandikwa barua ya kumhitaji maelezo lakini siyo kumwita tena kwa maneno yakibabe na kivitisho. Kuitwa kutoa ufafanuzi ni kawaida lkn kuitwa kivitisho haifai hatachembe. Mambo mengi yanafanywa na Rais wakati mwingine anaelekeza bunge lifanyeje na lipitishe sheria gani binafsi sioni jambo lamsingi lililoanzishwa na kushikiliwa na bunge hili zaif. Tukumbuke kutishia watu nao pia ni udhaifu
 
Upara umechemkaaa ukatoa majibu!! Kumtishia na pingu no dalili ya kumzuia asiweze kutekeleza kazizake vizuri,hats kuitwa na kuhojiwa in kutaka kumziba mdomo. Ingeandikwa barua ya kumhitaji maelezo lakini siyo kumwita tena kwa maneno yakibabe na kivitisho
Hata huyo wakili ana upara!Watu wenye upara sina imani nao hata chembe. Wengiwao wako kama hamnazo. Yani huwa kuna fuse ina issue kumkichwa!
 
Mh. Zitto, tuwekane sawa kidogo; Suala la CAG na Spika lisiwe la ‘kisiasa’.

Nimesoma barua yako kwa Katibu Mkuu wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola. Pia niliona umesema wewe na wabunge wenzako mmeamua kwenda Mahakamani ili kupata tafsiri kuhusu kinga ya CAG.

Nadhani umeamua kulitumia suala hili ‘kisiasa’ badala ya kusaidia kuliweka sawa kila mmoja alielewe. Hili usilifanye mtaji wa kisiasa.

Wengi tulitaharuki kumsikia Spika akitoa amri kwamba CAG aende akajieleze mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge. Taharuki ilikuwa kubwa kwa sababu Spika alienda mbali kidogo na kusema ingawaje Bunge halina polisi lakini linaweza kutumia pingu endapo mtu atakaidi amri ya kuitwa.

Kwa upande wangu nadhani hakukuwa na sababu ya ‘tone’ aliyotumia Spika kwenye Press ile kwa kuangalia nafasi ya CAG kama ofisi. Na hapo ndio mwisho wa ‘kosa’ la Spika. Haya mengine unayakuza kwa sababu zako za kisiasa.

Maswali ya kujiuliza hapa ni 1. Je CAG ana kinga ya kutokuhojiwa kwa kauli inayosemekana imedhalilisha Bunge kwa mujibu wa Katiba’?. 2. Je Spika amekosea kupeleka suala hilo kwenye Kamati?

Hili sio suala gumu sana kama utaamua kuliangalia bila ushabiki. Majibu ya maswali yote ni HAPANA. CAG hana kinga na Spika hajakosea kulipeleka suala hilo kwenye Kamati kwa uchunguzi.

Zitto wewe kama Mbunge unajua fika hakuna mtu yeyote ambaye anaruhusiwa kulidharau Bunge au mwenendo wa Bunge au Kamati. Kosa hilo dhidi ya Bunge kwa kiingereza ni ‘contempt’.

Mtu yeyote isipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano anaweza kuitwa na Bunge endapo atatenda kosa hilo. Hakuna mwingine mwenye kinga au ruhusa ya kutenda kosa hilo.

Kwa upande wa CAG Katiba haimlindi dhidi ya makosa au mashtaka yeyote isipokuwa tu kutokuingiliwa kwenye utekelezaji wa majukumu yake ya kisheria.

Maswali kwamba 1. Je kauli ya CAG kwamba Bunge ni dhaifu ni utekelezaji wa majukumu yake? na 2. Je kauli hiyo imelidhalilisha Bunge? Yatajibiwa na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge baada ya uchunguzi na kumsikiliza CAG na Spika.

Majibu hayo hayawezi kupatikana bila CAG kwenda mbele ya Kamati. Na kwenda huko haimaanishi Katiba imevunjwa.

Nimalizie kwa kusema kwamba Mahakama au chombo kingine chochote ndani au nje ya nchi haiwezi kuzuia Kamati kutekeleza majukumu yake ya kisheria.

Kauli ya CAG kwamba Bunge ni dhaifu haipo kwenye ripoti yake yoyote. Hakuna ‘uchunguzi’ wowote alioufanya akitekeleza wajibu wake na kugundua kwamba Bunge ni dhaifu. Hajawahi kutoa taarifa rasmi kuhusu udhaifu wa Bunge. Angefanya hivyo angekuwa ametekeleza wajibu wake na asingeingiliwa.

Hakuna sababu yoyote ile kupindisha suala hili kwa sababu tu Spika alitumia kauli ya pingu au alitoa taarifa kabla ya wito wa Kamati. Masuala haya mawili hayaondoi ukweli kwamba CAG hana kinga dhidi ya kauli yake aliyoitoa alipohojiwa.

Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge iachwe ifanye uchunguzi na kuamua kama 1. Kauli hiyo ni udhalilishaji wa Bunge 2. Kauli hiyo ilitolewa wakati CAG anatekeleza majukumu yake.

Alberto Msando.
10.01. 2019

Mara nyingi wanasheria wanapoandika mambo ya kisheria wanainyesha n vifungu vya sheria. Andiko hili la mheshimiwa sana limakaa kitaarab taarabu vile.
 
Mh. Zitto, tuwekane sawa kidogo; Suala la CAG na Spika lisiwe la ‘kisiasa’.

Nimesoma barua yako kwa Katibu Mkuu wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola. Pia niliona umesema wewe na wabunge wenzako mmeamua kwenda Mahakamani ili kupata tafsiri kuhusu kinga ya CAG.

Nadhani umeamua kulitumia suala hili ‘kisiasa’ badala ya kusaidia kuliweka sawa kila mmoja alielewe. Hili usilifanye mtaji wa kisiasa.

Wengi tulitaharuki kumsikia Spika akitoa amri kwamba CAG aende akajieleze mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge. Taharuki ilikuwa kubwa kwa sababu Spika alienda mbali kidogo na kusema ingawaje Bunge halina polisi lakini linaweza kutumia pingu endapo mtu atakaidi amri ya kuitwa.

Kwa upande wangu nadhani hakukuwa na sababu ya ‘tone’ aliyotumia Spika kwenye Press ile kwa kuangalia nafasi ya CAG kama ofisi. Na hapo ndio mwisho wa ‘kosa’ la Spika. Haya mengine unayakuza kwa sababu zako za kisiasa.

Maswali ya kujiuliza hapa ni 1. Je CAG ana kinga ya kutokuhojiwa kwa kauli inayosemekana imedhalilisha Bunge kwa mujibu wa Katiba’?. 2. Je Spika amekosea kupeleka suala hilo kwenye Kamati?

Hili sio suala gumu sana kama utaamua kuliangalia bila ushabiki. Majibu ya maswali yote ni HAPANA. CAG hana kinga na Spika hajakosea kulipeleka suala hilo kwenye Kamati kwa uchunguzi.

Zitto wewe kama Mbunge unajua fika hakuna mtu yeyote ambaye anaruhusiwa kulidharau Bunge au mwenendo wa Bunge au Kamati. Kosa hilo dhidi ya Bunge kwa kiingereza ni ‘contempt’.

Mtu yeyote isipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano anaweza kuitwa na Bunge endapo atatenda kosa hilo. Hakuna mwingine mwenye kinga au ruhusa ya kutenda kosa hilo.

Kwa upande wa CAG Katiba haimlindi dhidi ya makosa au mashtaka yeyote isipokuwa tu kutokuingiliwa kwenye utekelezaji wa majukumu yake ya kisheria.

Maswali kwamba 1. Je kauli ya CAG kwamba Bunge ni dhaifu ni utekelezaji wa majukumu yake? na 2. Je kauli hiyo imelidhalilisha Bunge? Yatajibiwa na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge baada ya uchunguzi na kumsikiliza CAG na Spika.

Majibu hayo hayawezi kupatikana bila CAG kwenda mbele ya Kamati. Na kwenda huko haimaanishi Katiba imevunjwa.

Nimalizie kwa kusema kwamba Mahakama au chombo kingine chochote ndani au nje ya nchi haiwezi kuzuia Kamati kutekeleza majukumu yake ya kisheria.

Kauli ya CAG kwamba Bunge ni dhaifu haipo kwenye ripoti yake yoyote. Hakuna ‘uchunguzi’ wowote alioufanya akitekeleza wajibu wake na kugundua kwamba Bunge ni dhaifu. Hajawahi kutoa taarifa rasmi kuhusu udhaifu wa Bunge. Angefanya hivyo angekuwa ametekeleza wajibu wake na asingeingiliwa.

Hakuna sababu yoyote ile kupindisha suala hili kwa sababu tu Spika alitumia kauli ya pingu au alitoa taarifa kabla ya wito wa Kamati. Masuala haya mawili hayaondoi ukweli kwamba CAG hana kinga dhidi ya kauli yake aliyoitoa alipohojiwa.

Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge iachwe ifanye uchunguzi na kuamua kama 1. Kauli hiyo ni udhalilishaji wa Bunge 2. Kauli hiyo ilitolewa wakati CAG anatekeleza majukumu yake.

Alberto Msando.
10.01. 2019
Eti wakili msomi. Uharo mtupu kisa kujipendekeza tu! Eti kosa ni Ndugai kusema "watatumia pingu", lakini hajazungumzia kosa la udhaifu wa bunge.

Sishangazwi hata kidogo nchi yetu ilipo, kama akili zinazotegemewa ndo kama hizi!
 
Kwa taarifa tu,
Msando ni wakili na Mwana ccm mpya aliyetoka upinzani kupitia ACT wazalendo.
Aliteuliwa na mwenyekiti wa ccm katika kamati maalum ya kukagua mali za ccm kamati iliyoongozwa na katibu mkuu wa ccm ndg Bashiru.

sasa tuendelee na mjadala....
 
Albert msando tulia bwana mdogo acha kujifanya unajua sana sheria na uzoefu wa shughuli za bunge watu wanavunja katiba ya nchi mbona huandiki? Ma Rc na Dc wanaweka watu ndani bila makosa huandiki?
Hata huyo wakili ana upara!Watu wenye upara sina imani nao hata chembe. Wengiwao wako kama hamnazo. Yani huwa kuna fuse ina issue kumkichwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh. Zitto, tuwekane sawa kidogo; Suala la CAG na Spika lisiwe la ‘kisiasa’.

Nimesoma barua yako kwa Katibu Mkuu wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola. Pia niliona umesema wewe na wabunge wenzako mmeamua kwenda Mahakamani ili kupata tafsiri kuhusu kinga ya CAG.

Nadhani umeamua kulitumia suala hili ‘kisiasa’ badala ya kusaidia kuliweka sawa kila mmoja alielewe. Hili usilifanye mtaji wa kisiasa.

Wengi tulitaharuki kumsikia Spika akitoa amri kwamba CAG aende akajieleze mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge. Taharuki ilikuwa kubwa kwa sababu Spika alienda mbali kidogo na kusema ingawaje Bunge halina polisi lakini linaweza kutumia pingu endapo mtu atakaidi amri ya kuitwa.

Kwa upande wangu nadhani hakukuwa na sababu ya ‘tone’ aliyotumia Spika kwenye Press ile kwa kuangalia nafasi ya CAG kama ofisi. Na hapo ndio mwisho wa ‘kosa’ la Spika. Haya mengine unayakuza kwa sababu zako za kisiasa.

Maswali ya kujiuliza hapa ni 1. Je CAG ana kinga ya kutokuhojiwa kwa kauli inayosemekana imedhalilisha Bunge kwa mujibu wa Katiba’?. 2. Je Spika amekosea kupeleka suala hilo kwenye Kamati?

Hili sio suala gumu sana kama utaamua kuliangalia bila ushabiki. Majibu ya maswali yote ni HAPANA. CAG hana kinga na Spika hajakosea kulipeleka suala hilo kwenye Kamati kwa uchunguzi.

Zitto wewe kama Mbunge unajua fika hakuna mtu yeyote ambaye anaruhusiwa kulidharau Bunge au mwenendo wa Bunge au Kamati. Kosa hilo dhidi ya Bunge kwa kiingereza ni ‘contempt’.

Mtu yeyote isipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano anaweza kuitwa na Bunge endapo atatenda kosa hilo. Hakuna mwingine mwenye kinga au ruhusa ya kutenda kosa hilo.

Kwa upande wa CAG Katiba haimlindi dhidi ya makosa au mashtaka yeyote isipokuwa tu kutokuingiliwa kwenye utekelezaji wa majukumu yake ya kisheria.

Maswali kwamba 1. Je kauli ya CAG kwamba Bunge ni dhaifu ni utekelezaji wa majukumu yake? na 2. Je kauli hiyo imelidhalilisha Bunge? Yatajibiwa na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge baada ya uchunguzi na kumsikiliza CAG na Spika.

Majibu hayo hayawezi kupatikana bila CAG kwenda mbele ya Kamati. Na kwenda huko haimaanishi Katiba imevunjwa.

Nimalizie kwa kusema kwamba Mahakama au chombo kingine chochote ndani au nje ya nchi haiwezi kuzuia Kamati kutekeleza majukumu yake ya kisheria.

Kauli ya CAG kwamba Bunge ni dhaifu haipo kwenye ripoti yake yoyote. Hakuna ‘uchunguzi’ wowote alioufanya akitekeleza wajibu wake na kugundua kwamba Bunge ni dhaifu. Hajawahi kutoa taarifa rasmi kuhusu udhaifu wa Bunge. Angefanya hivyo angekuwa ametekeleza wajibu wake na asingeingiliwa.

Hakuna sababu yoyote ile kupindisha suala hili kwa sababu tu Spika alitumia kauli ya pingu au alitoa taarifa kabla ya wito wa Kamati. Masuala haya mawili hayaondoi ukweli kwamba CAG hana kinga dhidi ya kauli yake aliyoitoa alipohojiwa.

Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge iachwe ifanye uchunguzi na kuamua kama 1. Kauli hiyo ni udhalilishaji wa Bunge 2. Kauli hiyo ilitolewa wakati CAG anatekeleza majukumu yake.

Alberto Msando.
10.01. 2019
Huu ndio ukweli bila chenga.
Wanasiasa wa aina ya zitto ni hatari kwa mustakabali wa utulivu wa kisiasa nchini.
Njaa mingi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swala ni kwamba kilaraia Ana haki ya kutoa maoni yake. Na CAG amefanya hivho kama raia wengine. Ndugai kudai kuwa bunge lake limefanya mengi na kwamba watatoa report hivi karibuni hiyo haibadilishi maoni ya watu. Bdugai anaweza kujipa A+ lakini sidi wananchi tukampa D.

Hii tabia ya kufanya mambo na kujisifia nwenyewe naona lime kuwa ni sehemu ya mfumo wa awamu Hii.

Hivi kama CAG angesifia Bdugai angefanya nini.... Angemuita kumpongeza na kumpa nishani bungeni!?
 
Hata huyo wakili ana upara!Watu wenye upara sina imani nao hata chembe. Wengiwao wako kama hamnazo. Yani huwa kuna fuse ina issue kumkichwa!
Huyu akaendelee kucheza na papa la Gigi asituletee uzwazwa CAG kwa utaalamu wake na kazi afanyayo kusema kuna udhaifu mahali ni kawaida. Ndiomaana huwa wanasema "Hati chafu" kwa serikali mbona wasiseme "hati changamoto". Tuwaache wataalamu waseme ukweli wabunge wasijipe uheshimiwa wasostahili
 
Swala ni kwamba kilaraia Ana haki ya kutoa maoni yake. Na CAG amefanya hivho kama raia wengine. Ndugai kudai kuwa bunge lake limefanya mengi na kwamba watatoa report hivi karibuni hiyo haibadilishi maoni ya watu. Bdugai anaweza kujipa A+ lakini sidi wananchi tukampa D.

Hii tabia ya kufanya mambo na kujisifia nwenyewe naona lime kuwa ni sehemu ya mfumo wa awamu Hii.

Hivi kama CAG angesifia Bdugai angefanya nini.... Angemuita kumpongeza na kumpa nishani bungeni!?
Alipohojiwa Asad, alihojiwa kama CAG,na si kama mtu binafsi. Acheni kujifanya kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake kikatiba.

Hivi mnatuona watanzania wooote mazuzu eh!

Sasa hivi kila mtu JF amegeuka mwanaharakati uchwara.

Hasira za segerea msituletee humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu akaendelee kucheza na papa la Gigi asituletee uzwazwa CAG kwa utaalamu wake na kazi afanyayo kusema kuna udhaifu mahali ni kawaida. Ndiomaana huwa wanasema "Hati chafu" kwa serikali mbona wasiseme "hati changamoto". Tuwaache wataalamu waseme ukweli wabunge wasijipe uheshimiwa wasostahili
Sio kwamba ukiwa mtaalam mbobezi, basi wewe ni mtu usiyekengeuka huyo asad ni binadamu na alichokifanya kwa busara za kawaida si sahihi.
Kwa madaraka aliyonayo na kwa maoni aliyotoa, basi mbona asijiuzuru kama haridhiki na utendaji wa serikali au bunge kutotimiza wajibu wake.
Anasubiri nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom