Albert Einstein na Charles Darwin.......

Albert Einstein na Charles Darwin.......

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,629
Last edited by a moderator:
Nimekuta hii kwenye mtandao
watu maarufu walio wahi kuoa mabinamu zao
Albert Einstein na Charles Darwin pia wamo
imenishangaza kidogo
niko curious na hili,why wanasayansi maarufu kama wao
wali share hii kitu
au kwa kuwa wote hawakuwa na imani za kidini?
cc Kiranga Gaijin Nyani Ngabu..

Yahoo! Shine - Women's Lifestyle | Healthy Living and Fashion Blogs

Kwa sababu gari ilikuwa anasa, wakashindwa kwenda mbali.

Kwa sababu traditions zilitaka ndoa zifanywe kati ya familia zinazojuana kuepuka surprises, and your cousin's family is better known than a stranger.

Kwa sababu they wanted to keep it in the family, like Sicilians.

Kwa sababu "wanasayansi maarufu" wako overrated, ni watu tu. Einstein alikuwa na mental health problems, probably some form of autism or neurogenetic disorder, that might have sprung from this same inbreeding. Na Newton alikuwa a crackpot alchemist akitaka kutengeneza dhahabu kwenye lab.Darwin was a mollusc collecting doctor's son for atoms sake, how would you expect him to do any better in this department?

Geeks are eccentric and would prefer a supportive woman over the height of society, Darwin would probably have preferred his southwesten gales and Galapagos turtles over a woman, why are you astonished by their modesty?
 
Kwa sababu gari ilikuwa anasa, wakashindwa kwenda mbali.

Kwa sababu traditions zilitaka ndoa zifanywe kati ya familia zinazojuana kuepuka surprises, and your cousin's family is better known than a stranger.

Kwa sababu they wanted to keep it in the family, like Sicilians.

Kwa sababu "wanasayansi maarufu" wako overrated, ni watu tu. Einstein alikuwa na mental health problems, probably some form of autism or neurogenetic disorder, that might have sprung from this same inbreeding. Na Newton alikuwa a crackpot alchemist akitaka kutengeneza dhahabu kwenye lab.Darwin was a mollusc collecting doctor's son for atoms sake, how would you expect him to do any better in this department?

Geeks are eccentric and would prefer a supportive woman over the height of society, Darwin would probably have preferred his southwesten gales and Galapagos turtles over a woman, why are you astonished by their modesty?

Inawezekana but mimi nimeona hii kitu imenishangaza

sijui Jewish culture ikoje kuhusu kuoa a cousin
na sheria zilikuwaje wakati wanaoa
nafahamu Marekani kisheria hairuhusiwi
ingawa naona hata Roosevelt alioa a cousin..pia..
a distant cousin i guess inaruhusiwa
 
Nimekuta hii kwenye mtandao
watu maarufu walio wahi kuoa mabinamu zao
Albert Einstein na Charles Darwin pia wamo
imenishangaza kidogo
niko curious na hili,why wanasayansi maarufu kama wao
wali share hii kitu
au kwa kuwa wote hawakuwa na imani za kidini?
cc Kiranga Gaijin Nyani Ngabu..

Yahoo! Shine - Women's Lifestyle | Healthy Living and Fashion Blogs

Mkuu The Boss, kuna wakati niliwahi kuweka uzi hapa kuhusu wanasayansi hawa na vituko vyao nikihoji kama walikuwa ni vichaa au hamnazo...?

Kwa mfano Albert Einstein ni mwanasayansi alieweza kuelezea kwa undani kuhusu uwiano mwingi wa masuala ya sayansi. Yeye alifurahia sana kuwa na nyumba ndogo. Hiyo nyumba yake ndogo alikuwa ni binamu yake na aliishi nae kwa takribani miaka mitano kabla hajamuacha mkewe wa ndoa ambaye alizaa nae watoto kadhaa kabla ya kufunga nae ndoa, na kuioa hiyo nyumba ndogo.

Charles Darwin huyu ningependa kumuita mzee wa utata, huyu nae ni mwanasayansi aliyezungumzia kuhusu mabadiliko ya viumbe (Evolution). Alikuwa akiishi peke yake kwa muda mrefu bila ya kuoa kwa sababu alikuwa akijiuliza faida ya kuoa na kuishi bila kuoa kabisa. Mwansayansi huyu nae alikuwa na vituko vingi, kwani kuna wakati alisema, “Kwa kiasi fulani mke ni bora kuliko mbwa, lakini ni kupoteza muda wako tu kuwa nae” Hata hivyo alikuja kuoa baada ya kuwa na uhusianao wa muda mrefu na mwanamke huyo aliyemuoa.

Sigmund Freud, Huyu ameweza kueleza vizuri kuhusu saikolojia na ufahamu, kwa ujumla alikuwa ni mtu mzuri, lakini alikuwa na mzozo na rafiki yake, kutokana na tabia zake za kushindwa kudhibiti hisia zake za kutojitosha, na hivyo kutaka kuabudiwa na kunyeyekewa.

Isaac Newton ambaye aliweza kukokotoa na kutoa kanuni za mwendo zijulikanazo kama Newton laws of motion, na kanuni ya nguvu za mvutano za dunia, alilelewa na bibi yake, baada ya baba yake kufariki na mama yake kuolewa na mwanamume mwingine, ambaye Newton hakumpenda kabisa. Newton alikuwa na tabia ya kupenda ugomvi na mizozo isiyo na umuhimu na wanachuo wenzake na hata marafiki zake, pia alishawahi kulelewa kwenye vituo vyenye kutoa ushauri nasaha. Kumbuka hapa namzungumzia mtu ambaye ugunduzi wake kwenye Fizikia haujavunjwa hadi leo.

Marie Curie ambaye aligundua Radioactivity, aliishi na mume wake kwenye nyumba iliyokuwa na vitu vichache na vilivyozagaa kwa sababu alichukia sana kazi za ndani, sijui wakati huo kulikuwa hakuna watumishi wa ndani (House Girls)? Wakati wakifanya shughuli zao za uchunguzi kuhusu radioactivity walikuwa wakiishi katika kibanda chao kilichokuwa na matundu, kiasi ambacho hata mvua ikinyesha maji yaliweza kuingia ndani. Hawakuwa na fedha nyingi na mara nyingi walitumia fedha kidogo walizonazo kununua kahawa na kunywa kwa furaha, huku wakiota katika jiko lao la stovu. Marie Curie nae alijishindia tunzo mbili za Nobeli.

Paul Erdos mmoja wa wanahisabati katika karne ya 20, ambaye amesaidia sana katika kutengeneza Kompyuta, huyu naye hakuwa ametulia sana. Hakuishi maisha ya kifahari, karibu maisha yake yote yalikuwa ya kifukara, kwani alitegemea misaada ya chakula na nguo kutoka kwa marafiki wema. Hakupenda kujilimbikizia mali ingawa angeweza kama angetaka.

Je sasa umeweza kushawishika kwamba watu wenye vipaji maalum (Geniuses), huenda ni watu ambao kwenye upande wa pili wa maisha yaani katika kujenga maisha yao, hawana uwezo? Lakini Je sio kwamba watu wanapokuwa na uwezo mkubwa kiakili hatimaye mambo mengine kama vile fedha na ufahari vinakosa maana kwao? Nadhani hili ndilo la msingi.

https://www.jamiiforums.com/mahusia...-wanasayansi-hawa-walikuwa-hamnazo-kweli.html
 
Mkuu The Boss, kuna wakati niliwahi kuweka uzi hapa kuhusu wanasayansi hawa na vituko vyao nikihoji kama walikuwa ni vichaa au hamnazo...?

Kwa mfano Albert Einstein ni mwanasayansi alieweza kuelezea kwa undani kuhusu uwiano mwingi wa masuala ya sayansi. Yeye alifurahia sana kuwa na nyumba ndogo. Hiyo nyumba yake ndogo alikuwa ni binamu yake na aliishi nae kwa takribani miaka mitano kabla hajamuacha mkewe wa ndoa ambaye alizaa nae watoto kadhaa kabla ya kufunga nae ndoa, na kuioa hiyo nyumba ndogo.

Charles Darwin huyu ningependa kumuita mzee wa utata, huyu nae ni mwanasayansi aliyezungumzia kuhusu mabadiliko ya viumbe (Evolution). Alikuwa akiishi peke yake kwa muda mrefu bila ya kuoa kwa sababu alikuwa akijiuliza faida ya kuoa na kuishi bila kuoa kabisa. Mwansayansi huyu nae alikuwa na vituko vingi, kwani kuna wakati alisema, “Kwa kiasi fulani mke ni bora kuliko mbwa, lakini ni kupoteza muda wako tu kuwa nae” Hata hivyo alikuja kuoa baada ya kuwa na uhusianao wa muda mrefu na mwanamke huyo aliyemuoa.

Sigmund Freud, Huyu ameweza kueleza vizuri kuhusu saikolojia na ufahamu, kwa ujumla alikuwa ni mtu mzuri, lakini alikuwa na mzozo na rafiki yake, kutokana na tabia zake za kushindwa kudhibiti hisia zake za kutojitosha, na hivyo kutaka kuabudiwa na kunyeyekewa.

Isaac Newton ambaye aliweza kukokotoa na kutoa kanuni za mwendo zijulikanazo kama Newton laws of motion, na kanuni ya nguvu za mvutano za dunia, alilelewa na bibi yake, baada ya baba yake kufariki na mama yake kuolewa na mwanamume mwingine, ambaye Newton hakumpenda kabisa. Newton alikuwa na tabia ya kupenda ugomvi na mizozo isiyo na umuhimu na wanachuo wenzake na hata marafiki zake, pia alishawahi kulelewa kwenye vituo vyenye kutoa ushauri nasaha. Kumbuka hapa namzungumzia mtu ambaye ugunduzi wake kwenye Fizikia haujavunjwa hadi leo.

Marie Curie ambaye aligundua Radioactivity, aliishi na mume wake kwenye nyumba iliyokuwa na vitu vichache na vilivyozagaa kwa sababu alichukia sana kazi za ndani, sijui wakati huo kulikuwa hakuna watumishi wa ndani (House Girls)? Wakati wakifanya shughuli zao za uchunguzi kuhusu radioactivity walikuwa wakiishi katika kibanda chao kilichokuwa na matundu, kiasi ambacho hata mvua ikinyesha maji yaliweza kuingia ndani. Hawakuwa na fedha nyingi na mara nyingi walitumia fedha kidogo walizonazo kununua kahawa na kunywa kwa furaha, huku wakiota katika jiko lao la stovu. Marie Curie nae alijishindia tunzo mbili za Nobeli.

Paul Erdos mmoja wa wanahisabati katika karne ya 20, ambaye amesaidia sana katika kutengeneza Kompyuta, huyu naye hakuwa ametulia sana. Hakuishi maisha ya kifahari, karibu maisha yake yote yalikuwa ya kifukara, kwani alitegemea misaada ya chakula na nguo kutoka kwa marafiki wema. Hakupenda kujilimbikizia mali ingawa angeweza kama angetaka.

Je sasa umeweza kushawishika kwamba watu wenye vipaji maalum (Geniuses), huenda ni watu ambao kwenye upande wa pili wa maisha yaani katika kujenga maisha yao, hawana uwezo? Lakini Je sio kwamba watu wanapokuwa na uwezo mkubwa kiakili hatimaye mambo mengine kama vile fedha na ufahari vinakosa maana kwao? Nadhani hili ndilo la msingi.

https://www.jamiiforums.com/mahusia...-wanasayansi-hawa-walikuwa-hamnazo-kweli.html
I like your investigation

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mkuu The Boss, kuna wakati niliwahi kuweka uzi hapa kuhusu wanasayansi hawa na vituko vyao nikihoji kama walikuwa ni vichaa au hamnazo...?

Kwa mfano Albert Einstein ni mwanasayansi alieweza kuelezea kwa undani kuhusu uwiano mwingi wa masuala ya sayansi. Yeye alifurahia sana kuwa na nyumba ndogo. Hiyo nyumba yake ndogo alikuwa ni binamu yake na aliishi nae kwa takribani miaka mitano kabla hajamuacha mkewe wa ndoa ambaye alizaa nae watoto kadhaa kabla ya kufunga nae ndoa, na kuioa hiyo nyumba ndogo.

Charles Darwin huyu ningependa kumuita mzee wa utata, huyu nae ni mwanasayansi aliyezungumzia kuhusu mabadiliko ya viumbe (Evolution). Alikuwa akiishi peke yake kwa muda mrefu bila ya kuoa kwa sababu alikuwa akijiuliza faida ya kuoa na kuishi bila kuoa kabisa. Mwansayansi huyu nae alikuwa na vituko vingi, kwani kuna wakati alisema, "Kwa kiasi fulani mke ni bora kuliko mbwa, lakini ni kupoteza muda wako tu kuwa nae" Hata hivyo alikuja kuoa baada ya kuwa na uhusianao wa muda mrefu na mwanamke huyo aliyemuoa.

Sigmund Freud, Huyu ameweza kueleza vizuri kuhusu saikolojia na ufahamu, kwa ujumla alikuwa ni mtu mzuri, lakini alikuwa na mzozo na rafiki yake, kutokana na tabia zake za kushindwa kudhibiti hisia zake za kutojitosha, na hivyo kutaka kuabudiwa na kunyeyekewa.

Isaac Newton ambaye aliweza kukokotoa na kutoa kanuni za mwendo zijulikanazo kama Newton laws of motion, na kanuni ya nguvu za mvutano za dunia, alilelewa na bibi yake, baada ya baba yake kufariki na mama yake kuolewa na mwanamume mwingine, ambaye Newton hakumpenda kabisa. Newton alikuwa na tabia ya kupenda ugomvi na mizozo isiyo na umuhimu na wanachuo wenzake na hata marafiki zake, pia alishawahi kulelewa kwenye vituo vyenye kutoa ushauri nasaha. Kumbuka hapa namzungumzia mtu ambaye ugunduzi wake kwenye Fizikia haujavunjwa hadi leo.

Marie Curie ambaye aligundua Radioactivity, aliishi na mume wake kwenye nyumba iliyokuwa na vitu vichache na vilivyozagaa kwa sababu alichukia sana kazi za ndani, sijui wakati huo kulikuwa hakuna watumishi wa ndani (House Girls)? Wakati wakifanya shughuli zao za uchunguzi kuhusu radioactivity walikuwa wakiishi katika kibanda chao kilichokuwa na matundu, kiasi ambacho hata mvua ikinyesha maji yaliweza kuingia ndani. Hawakuwa na fedha nyingi na mara nyingi walitumia fedha kidogo walizonazo kununua kahawa na kunywa kwa furaha, huku wakiota katika jiko lao la stovu. Marie Curie nae alijishindia tunzo mbili za Nobeli.

Paul Erdos mmoja wa wanahisabati katika karne ya 20, ambaye amesaidia sana katika kutengeneza Kompyuta, huyu naye hakuwa ametulia sana. Hakuishi maisha ya kifahari, karibu maisha yake yote yalikuwa ya kifukara, kwani alitegemea misaada ya chakula na nguo kutoka kwa marafiki wema. Hakupenda kujilimbikizia mali ingawa angeweza kama angetaka.

Je sasa umeweza kushawishika kwamba watu wenye vipaji maalum (Geniuses), huenda ni watu ambao kwenye upande wa pili wa maisha yaani katika kujenga maisha yao, hawana uwezo? Lakini Je sio kwamba watu wanapokuwa na uwezo mkubwa kiakili hatimaye mambo mengine kama vile fedha na ufahari vinakosa maana kwao? Nadhani hili ndilo la msingi.

https://www.jamiiforums.com/mahusia...-wanasayansi-hawa-walikuwa-hamnazo-kweli.html


kumbe hii kitu ni scientists wengi mno.....
nahisi connection ya sayansi na hii kitu
 
Kiranga kwa assessment ya nyakat u cmc 2 be much collect nd I like t. Mtambuzi m also so glad wit u for ur scientic coverage ya lyf la hawa scientists, as u said in ur conlussion nadhani Kwel serious analysis has to b done over dis scientists. Big up ma men
 
Genius wengi wanatumia muda mwingi na akili nyingi kwenye mambo yao yanayotumia akili nyingi na kusahaua maisha ya
kawaida na hata accademissian wengi utakuta mwisho wa siku wanakua na kitu fulani kama kuchanganyikiwa baada ya kutumia muda mwingi kwenye shughuli hizo na baadae wakijilinganiasha na wenzao kwenye fani nyingine wanakuta ni gtofauti.Ingawaje kwa kiasi fulani kuwa na elimu kubwa tayari inakua ni utajiri fulani uliokwenye mfumo ambao watu wengi hawagundui wala kuuona.
 
Mkuu The Boss, kuna wakati niliwahi kuweka uzi hapa kuhusu wanasayansi hawa na vituko vyao nikihoji kama walikuwa ni vichaa au hamnazo...?

Kwa mfano Albert Einstein ni mwanasayansi alieweza kuelezea kwa undani kuhusu uwiano mwingi wa masuala ya sayansi. Yeye alifurahia sana kuwa na nyumba ndogo. Hiyo nyumba yake ndogo alikuwa ni binamu yake na aliishi nae kwa takribani miaka mitano kabla hajamuacha mkewe wa ndoa ambaye alizaa nae watoto kadhaa kabla ya kufunga nae ndoa, na kuioa hiyo nyumba ndogo.

Charles Darwin huyu ningependa kumuita mzee wa utata, huyu nae ni mwanasayansi aliyezungumzia kuhusu mabadiliko ya viumbe (Evolution). Alikuwa akiishi peke yake kwa muda mrefu bila ya kuoa kwa sababu alikuwa akijiuliza faida ya kuoa na kuishi bila kuoa kabisa. Mwansayansi huyu nae alikuwa na vituko vingi, kwani kuna wakati alisema, "Kwa kiasi fulani mke ni bora kuliko mbwa, lakini ni kupoteza muda wako tu kuwa nae" Hata hivyo alikuja kuoa baada ya kuwa na uhusianao wa muda mrefu na mwanamke huyo aliyemuoa.

Sigmund Freud, Huyu ameweza kueleza vizuri kuhusu saikolojia na ufahamu, kwa ujumla alikuwa ni mtu mzuri, lakini alikuwa na mzozo na rafiki yake, kutokana na tabia zake za kushindwa kudhibiti hisia zake za kutojitosha, na hivyo kutaka kuabudiwa na kunyeyekewa.

Isaac Newton ambaye aliweza kukokotoa na kutoa kanuni za mwendo zijulikanazo kama Newton laws of motion, na kanuni ya nguvu za mvutano za dunia, alilelewa na bibi yake, baada ya baba yake kufariki na mama yake kuolewa na mwanamume mwingine, ambaye Newton hakumpenda kabisa. Newton alikuwa na tabia ya kupenda ugomvi na mizozo isiyo na umuhimu na wanachuo wenzake na hata marafiki zake, pia alishawahi kulelewa kwenye vituo vyenye kutoa ushauri nasaha. Kumbuka hapa namzungumzia mtu ambaye ugunduzi wake kwenye Fizikia haujavunjwa hadi leo.

Marie Curie ambaye aligundua Radioactivity, aliishi na mume wake kwenye nyumba iliyokuwa na vitu vichache na vilivyozagaa kwa sababu alichukia sana kazi za ndani, sijui wakati huo kulikuwa hakuna watumishi wa ndani (House Girls)? Wakati wakifanya shughuli zao za uchunguzi kuhusu radioactivity walikuwa wakiishi katika kibanda chao kilichokuwa na matundu, kiasi ambacho hata mvua ikinyesha maji yaliweza kuingia ndani. Hawakuwa na fedha nyingi na mara nyingi walitumia fedha kidogo walizonazo kununua kahawa na kunywa kwa furaha, huku wakiota katika jiko lao la stovu. Marie Curie nae alijishindia tunzo mbili za Nobeli.

Paul Erdos mmoja wa wanahisabati katika karne ya 20, ambaye amesaidia sana katika kutengeneza Kompyuta, huyu naye hakuwa ametulia sana. Hakuishi maisha ya kifahari, karibu maisha yake yote yalikuwa ya kifukara, kwani alitegemea misaada ya chakula na nguo kutoka kwa marafiki wema. Hakupenda kujilimbikizia mali ingawa angeweza kama angetaka.

Je sasa umeweza kushawishika kwamba watu wenye vipaji maalum (Geniuses), huenda ni watu ambao kwenye upande wa pili wa maisha yaani katika kujenga maisha yao, hawana uwezo? Lakini Je sio kwamba watu wanapokuwa na uwezo mkubwa kiakili hatimaye mambo mengine kama vile fedha na ufahari vinakosa maana kwao? Nadhani hili ndilo la msingi.

https://www.jamiiforums.com/mahusia...-wanasayansi-hawa-walikuwa-hamnazo-kweli.html

Hongera kwa utafiti mkuu...!!
 
nauliza swali kwa maana na wewe ni mbishi... Mwali yumo humu jf! kuoa ni kuwa na mke...

Mbishi kwani mie mshipa?

Maswali mengine kama uko Jidah unaweza kukatwa na jambia. Mwanamme unamuuliza mwanamme mwenzako kama kaoa, kama Kilindoni unazua kesi hivihivi. Au unapewa chakacha.

Kwa hiyo ndo unataka kunipa Mwali ? Dadako huyo? Ushaelewana naye ama unataka kuleta zogo? Mipango yake unaijua wewe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom