ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 7,375
- 17,980
ShenziiiHawez kuwa mpenzi wa Mungu, labla mpenzi wa mtu 😎
ShenziiiHawez kuwa mpenzi wa Mungu, labla mpenzi wa mtu 😎
Tawire 😎Shenziii
Nyeto is there for everybody. Kikubwa mtu hata kama hataki kupiga basi aiheshimu tu, kwa maana yule aisemaye kwa mabaya atalaaniwa.Piga nyeto🔥
Je na Kingai anajitambua?😂😂😂😂😂
😅😅😅Nyeto is there for everybody. Kikubwa mtu hata kama hataki kupiga basi aiheshimu tu, kwa maana yule aisemaye kwa mabaya atalaaniwa.
Intelli fvckin worldMungu nifundishe kunyamaza
Cc: Intelligent businessman
Haya mambo ya Einstein yananikuta sana siku hizi. Mfano leo mchana nilotoka nyumbani kwenda salon, nikiwa nimepanga nikitoka ninunue sundries, mkaa wa home kisha chakula cha kuku na drinker moja ya kuongeza bandani kisha nipitie kwa wanunua mali used niwaoneshe picha ya madirisha niliyoyabadilisha hivi karibuni, tukikubaliana bei waje wayachukue.Siku moja, Albert Einstein alikuwa ndani ya treni akitoka Chuo Kikuu cha Princeton. Kondakta akaanza kupita kukagua tiketi za abiria mmoja mmoja. Alipomfikia Einstein, mzee akaanza kupekua mifuko ya koti lake tiketi haipo.
Akaingia mifuko ya suruali, akatafuta ndani ya koti lake dogo la safari, wapi! Hakuna kitu. Mwishowe akaanza kuitafuta hata kwenye kiti alichokuwa amekalia.
Kondakta alipoona vile, akamwambia kwa heshima
“Dr. Einstein, mimi nakujua vizuri. Kila mtu hapa anakujua, na nina uhakika kabisa ulinunua tiketi. Usiwe na wasiwasi, achana nayo.”
Einstein akaitikia kwa kichwa na kumshukuru. Kondakta akaendelea na kazi yake ya kukagua tiketi za abiria wengine. Lakini alipokuwa karibu kutoka nje ya lile behewa, alipiga jicho nyuma na kumuona Einstein amepiga magoti chini, bado anatafuta ile tiketi uvunguni mwa kiti.
Kondakta akashangaa, akarudi tena na kumwambia:
“Kama nilivyokwambia, kila mtu anakujua wewe ni nani. Hakuna shida kabisa. Huhitaji kuhangaika kuitafuta hiyo tiketi.”
Einstein akainua kichwa chake, akatabasamu na kumjibu,
“Asante sana rafiki yangu. Mimi pia najua mimi ni nani. Lakini shida ni kwamba, sijui naenda wapi! Ndio maana naitafuta hii tiketi kwa udi na uvumba nijue safari yangu inaishia wapi.”
Story hii inatufundisha kuwa Hata uwe na akili gani ya kutatua magumu ya ulimwengu, bado unaweza kukwama kwenye vitu vidogo kama kujua kituo unachoshukia!
Aisee pole sana na nyamaza kulia, ndio mambo ya dunia😎Dah inasikitisha sana, nimelia mno....
We are cookedBaba yangu Mdinyakobe Kimario, ambaye ni mwanasaikolojia alinifundisha kitu kinachoitwa 'Halo Effect', yaani hali ya mtu/watu kuamini kuwa mtu akiwa expert kwenye kitu kimoja basi anakuwa expert kwenye vitu vingine vyote.
Kwa mfano, mimi ni expert kwenye masuala ya nyeto lakini Wana-JF wengi wanaamini kuwa Mimi pia ni expert wa vitu vyote, ndiyo maana wakati mwingine wananipa heshima nisiyostahili 😂.
Sasa hii story ya Albert Einstein imenikumbusha hili.
ShesRise_1,
Seran.

hivi kwanini huwa wanaandika maneno meusi?Angalia vzr, sio picha n maneno ila ameandika kwa rangi nyeusi ndo mana huoni
mbona hiyo ni kawaida ukiwa na mambo mengi kichwani!Haya mambo ya Einstein yananikuta sana siku hizi. Mfano leo mchana nilotoka nyumbani kwenda salon, nikiwa nimepanga nikitoka ninunue sundries, mkaa wa home kisha chakula cha kuku na drinker moja ya kuongeza bandani kisha nipitie kwa wanunua mali used niwaoneshe picha ya madirisha niliyoyabadilisha hivi karibuni, tukikubaliana bei waje wayachukue.
WAkati nimerudi nimepark home nayaona tena yale madirisha backyard ndio nakumbuka sijapitia kwa wale jamaa. Siku hizi nasahau sana vitu kwa style hii.
kumbaf sana gentleman, dah 🤣Baba yangu Mdinyakobe Kimario, ambaye ni mwanasaikolojia alinifundisha kitu kinachoitwa 'Halo Effect', yaani hali ya mtu/watu kuamini kuwa mtu akiwa expert kwenye kitu kimoja basi anakuwa expert kwenye vitu vingine vyote.
Kwa mfano, mimi ni expert kwenye masuala ya nyeto lakini Wana-JF wengi wanaamini kuwa Mimi pia ni expert wa vitu vyote, ndiyo maana wakati mwingine wananipa heshima nisiyostahili 😂.
Sasa hii story ya Albert Einstein imenikumbusha hili.
ShesRise_1,
Seran.
Ngoja akusikieJe na Kingai anajitambua?
Nadhn n uwendawazimu tuuhivi kwanini huwa wanaandika maneno meusi?
Kwa wakat huo babu alikuwa na pesa piaIQ kubwa napeleka wapi? hujui kutofautisha pesa na Iq kabisa![]()
hapo sawa 😻Kwa wakat huo babu alikuwa na pesa pia
Ni hali inatokea mkuu.. ukiona inaanza kua mara kwa mara na haswa kwenye maswala ya msingi adi inaleta impacts chukua hatua.Haya mambo ya Einstein yananikuta sana siku hizi. Mfano leo mchana nilotoka nyumbani kwenda salon, nikiwa nimepanga nikitoka ninunue sundries, mkaa wa home kisha chakula cha kuku na drinker moja ya kuongeza bandani kisha nipitie kwa wanunua mali used niwaoneshe picha ya madirisha niliyoyabadilisha hivi karibuni, tukikubaliana bei waje wayachukue.
WAkati nimerudi nimepark home nayaona tena yale madirisha backyard ndio nakumbuka sijapitia kwa wale jamaa. Siku hizi nasahau sana vitu kwa style hii.
Naona kama inakuwa too much. Mara nyingi natoka home napanga nifike carwash niache chombo changu kisha nitembee kwenda ofisini.Ni hali inatokea mkuu.. ukiona inaanza kua mara kwa mara na haswa kwenye maswala ya msingi adi inaleta impacts chukua hatua.