Alama za Barabarani

Umenikumbusha na kunitamanisha safari zangu za kuendesha umbali mrefu. Nimepamiss Lushoto... Itabidi December hii nisababishe, namaliza gia zote 5 hadi gari inakuwa nyepesii.
Raha ya manual uzimalize gia zote.

Asante kwa maelezo matamu.
Mkuu gari manual au una maana nyingine?
Maana kiswahili siku hizi kinazidi tu kukua na kuchafuliwa pia.

Wanawake wanavyopenda auto'ivyo! Hata siku moja sijawahi kusikia mtu jinsia ya kike akipenda kuendesha hayo makitu, kama ulikuwa una maana ya gari kweli!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu gari manual au una maana nyingine?
Maana kiswahili siku hizi kinazidi tu kukua na kuchafuliwa pia.

Wanawake wanavyopenda auto'ivyo! Hata siku moja sijawahi kusikia mtu jinsia ya kike akipenda kuendesha hayo makitu, kama ulikuwa una maana ya gari kweli!

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahahhaaaa maana yangu ni hiyo hiyo ya gari manual. Napenda sana kuendesha manual, ikiwa ni habari ya Mahaba ntasema kuwa ni mtulinga au mtwangio....

Kasie Matata.
 
Hahahaaaaa raha iliyoje..... Sina hiana Kasie mie, sema basi tupige trip ya wapi maana safari za mchana na usiku zote naweza.

Safari ndefu ndo zangu, ila ili usisinzie itabidi uwe unanisomea ramani, sawa?
Ha ha ha ha, haina shida kabisa navigator nipo hapa. Sasa tupige trip hii ya kwanza Dar-Mbeya hii tunatoka Dar mchana then tukafike Mbeya usiku then Trip ya pili sasa hii ndio itakuwa funga kazi sasa, ukiwa Mbeya kule kuna chocho moja unakula unatokea Songea then tunatokea Mtwara.
Trip ya pili tutaanza kuhesabia hapa yani iwe Mtwara - Lushoto tunatoka Mtwara mchana then by usiku tutakuwa na ndani ya Lushoto. Upo hapo bby Driver!!!
 
Ha ha ha ha, haina shida kabisa navigator nipo hapa. Sasa tupige trip hii ya kwanza Dar-Mbeya hii tunatoka Dar mchana then tukafike Mbeya usiku then Trip ya pili sasa hii ndio itakuwa funga kazi sasa, ukiwa Mbeya kule kuna chocho moja unakula unatokea Songea then tunatokea Mtwara.
Trip ya pili tutaanza kuhesabia hapa yani iwe Mtwara - Lushoto tunatoka Mtwara mchana then by usiku tutakuwa na ndani ya Lushoto. Upo hapo bby Driver!!!

Hahahahhahaaa weeh keengeeh hiyo safari ikiwa ndani ya wiki 2 sawa, chini ya hapo unataka kunitoa maini au bandama?

Usijali niko vizuri, ngoja niweke sawaratiba zangu. Kaa mkao wa safari.
 
Ahsante kwa uzi ila binafsi siuelewi kabisa,nimeangalia ile video na kumsikiliza vema ,ushauri wangu hapa nimeshautoa sana isipokuwa mpaka kutokee ajali ndio tunaamka,solutions ya hapa ni simple ;hii sehemu ina mteremko mkali na hii ni hatari kwa magari yenye uzito mkubwa yanapokuwa yanateremka mterermko huu,hapa ilitakiwa tuwe na njia mbili na upande wa kushoto ni lazima magari yote yenye uzito wa 10t yatumie upande huu wakati wa kushuka,pia tuweke stop signs kila baada ya mita 50,hii itasaidia kwa dereva kutokamata kasi kubwa wakati wa kushuka maana ni lazima kila stop sign asimame,pia tujenge kama arrester mbili (hii ni sehemu muhimu kwa dereva anayepoteza breki kulielekeza gari lake huko,tungekuwa nayo hii ajali iliyotokea majuzi isingetokea maana inasemekana dereva alipata break failure,ujenzi wake wala sio gharama kubwa unachepusha kipande cha barabara ambacho unakijaza na udongo au kokoto ndogondogo hizi zinasaidia kusimamisha gari )
 
Hahahahhahaaa weeh keengeeh hiyo safari ikiwa ndani ya wiki 2 sawa, chini ya hapo unataka kunitoa maini au bandama?

Usijali niko vizuri, ngoja niweke sawaratiba zangu. Kaa mkao wa safari.
Ha ha ha ha ha ha, mbona fupi sana hiyo haichukui hata week moja mbili nyingi sana.

Nasubiri nione maujanja yako barabarani bibie wewe.
 
Back
Top Bottom