kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 367
- 679
Natumai mu wazima kabisa humu . huku kimvua tu nje kinapiga cha wastani.
Tena hichi kimvua ndo kimenipa mawazo kabisa yan.Aisee Leo zinatimia wiki mbili naona kama tumeliana buyu na mama mtu. Yan sijaona text yake wala call yake.Sasa hii ni kiasi gani inaonyesha kwamba nikikaa kimya na yeye anakula buyu( anauchuna)
Yan hata kuniuliza naendeleaje ,kam naumwa je nipo hoi taabani ,nipo kitandan sijiwezi, hii ni alama nyekundu kabisa kwamba nimedandia treni kwa mbele.xema safi tu atanitafutaa na Mimi naendelea kuuchuna hivi hivi.
Nb: ila kw hii taa eeehh. Nishajua wananipigia wenzangu
Tena hichi kimvua ndo kimenipa mawazo kabisa yan.Aisee Leo zinatimia wiki mbili naona kama tumeliana buyu na mama mtu. Yan sijaona text yake wala call yake.Sasa hii ni kiasi gani inaonyesha kwamba nikikaa kimya na yeye anakula buyu( anauchuna)
Yan hata kuniuliza naendeleaje ,kam naumwa je nipo hoi taabani ,nipo kitandan sijiwezi, hii ni alama nyekundu kabisa kwamba nimedandia treni kwa mbele.xema safi tu atanitafutaa na Mimi naendelea kuuchuna hivi hivi.
Nb: ila kw hii taa eeehh. Nishajua wananipigia wenzangu