T ton11 Senior Member Joined Apr 8, 2019 Posts 110 Reaction score 150 Jul 13, 2021 #1 Wakuu siku za karibuni nimekuwa nikikutana na alama hii (angalia picha) mwenye kujua alama hii inamaanisha nini anijuze tafadhari.View attachment 1851869
Wakuu siku za karibuni nimekuwa nikikutana na alama hii (angalia picha) mwenye kujua alama hii inamaanisha nini anijuze tafadhari.View attachment 1851869
Ushirombo JF-Expert Member Joined Jan 22, 2013 Posts 3,558 Reaction score 2,711 Jul 13, 2021 #2 ton11 said: Wakuu siku za karibuni nimekuwa nikikutana na alama hii (angalia picha) mwenye kujua alama hii inamaanisha nini anijuze tafadhari.View attachment 1851869View attachment 1851870 Click to expand... Labda kuwa makini kuna watu wasiosikia
ton11 said: Wakuu siku za karibuni nimekuwa nikikutana na alama hii (angalia picha) mwenye kujua alama hii inamaanisha nini anijuze tafadhari.View attachment 1851869View attachment 1851870 Click to expand... Labda kuwa makini kuna watu wasiosikia
Aladeen04 JF-Expert Member Joined Sep 6, 2016 Posts 3,577 Reaction score 5,780 Jul 13, 2021 #3 Siyo mpya hiyo alama, japo sikumbuki vizuri inachomaanisha kama sikosei ni kuwa makini eneo ambalo kuna watu wasiosikia.
Siyo mpya hiyo alama, japo sikumbuki vizuri inachomaanisha kama sikosei ni kuwa makini eneo ambalo kuna watu wasiosikia.
T ton11 Senior Member Joined Apr 8, 2019 Posts 110 Reaction score 150 Jul 13, 2021 Thread starter #4 Aladeen04 said: Siyo mpya hiyo alama. Click to expand... mimi ndio nimeiona siku za karibuni sasa unaweza kunisaidia inamaanisha nini?
Aladeen04 said: Siyo mpya hiyo alama. Click to expand... mimi ndio nimeiona siku za karibuni sasa unaweza kunisaidia inamaanisha nini?
D DATAZ JF-Expert Member Joined May 25, 2012 Posts 4,712 Reaction score 11,980 Jul 13, 2021 #5 Hiyo ni tahadhari ya kuwa Kuna wasiosikia eneo hilo. Preferebly Kuna taasisi eneo hilo
T ton11 Senior Member Joined Apr 8, 2019 Posts 110 Reaction score 150 Jul 13, 2021 Thread starter #6 Ushirombo said: Labda kuwa makini kuna watu wasiosikia Click to expand... nami nilifikiria hivyo ngoja tusikie wengine wanasemaje asante sana mkuu
Ushirombo said: Labda kuwa makini kuna watu wasiosikia Click to expand... nami nilifikiria hivyo ngoja tusikie wengine wanasemaje asante sana mkuu
Aladeen04 JF-Expert Member Joined Sep 6, 2016 Posts 3,577 Reaction score 5,780 Jul 13, 2021 #7 ton11 said: mimi ndio nimeiona siku za karibuni sasa unaweza kunisaidia inamaanisha nini? Click to expand... Rejea tena post yangu kaka.
ton11 said: mimi ndio nimeiona siku za karibuni sasa unaweza kunisaidia inamaanisha nini? Click to expand... Rejea tena post yangu kaka.
P Pallu wa Pallu Member Joined Jan 6, 2015 Posts 75 Reaction score 33 Jul 13, 2021 #8 ton11 said: mimi ndio nimeiona siku za karibuni sasa unaweza kunisaidia inamaanisha nini? Click to expand... ...mara nyingi alama hii huwa sehemu karibu na shule....
ton11 said: mimi ndio nimeiona siku za karibuni sasa unaweza kunisaidia inamaanisha nini? Click to expand... ...mara nyingi alama hii huwa sehemu karibu na shule....
T ton11 Senior Member Joined Apr 8, 2019 Posts 110 Reaction score 150 Jul 13, 2021 Thread starter #9 DATAZ said: Hiyo ni tahadhari ya kuwa Kuna wasiosikia eneo hilo. Preferebly Kuna taasisi eneo hilo Click to expand... sawa asante sana mkuu
DATAZ said: Hiyo ni tahadhari ya kuwa Kuna wasiosikia eneo hilo. Preferebly Kuna taasisi eneo hilo Click to expand... sawa asante sana mkuu
Manyema JF-Expert Member Joined Sep 2, 2010 Posts 691 Reaction score 1,821 Jul 13, 2021 #10 Imewekwa kwenye zebra kibao hapa town
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 60,374 Reaction score 88,603 Jul 13, 2021 #11 Hapo Tabata Relini?
Chillah JF-Expert Member Joined Oct 12, 2016 Posts 9,231 Reaction score 10,468 Jul 13, 2021 #12 Ushirombo said: Labda kuwa makini kuna watu wasiosikia Click to expand... Hapana ni Viziwi...
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 53,246 Reaction score 50,468 Jul 14, 2021 #13 Chillah said: Hapana ni Viziwi... Click to expand... Sasa si ndio hawasikii
Kobello JF-Expert Member Joined Feb 20, 2011 Posts 9,223 Reaction score 8,907 Jul 14, 2021 #14 Kelele, kama honi zisizo na maana au miziki mikubwa ya matangazo.
peno hasegawa JF-Expert Member Joined Feb 24, 2016 Posts 16,029 Reaction score 26,235 Jul 14, 2021 #15 Ushirombo said: Labda kuwa makini kuna watu wasiosikia Click to expand... Hawasikii ni eneo lenye watu watukutu?
Ushirombo said: Labda kuwa makini kuna watu wasiosikia Click to expand... Hawasikii ni eneo lenye watu watukutu?
Kukudume2013 JF-Expert Member Joined Jan 8, 2013 Posts 1,659 Reaction score 736 Jul 14, 2021 #16 Usiwapigie honi wavuuka njia ktk zebra
MWANDENDEULE JF-Expert Member Joined May 24, 2015 Posts 4,754 Reaction score 9,223 Jul 14, 2021 #17 Ni ya siku nyingi sana hiyo kwa vile imebadilishwa rangi imekuwa mpya?
T ton11 Senior Member Joined Apr 8, 2019 Posts 110 Reaction score 150 Jul 14, 2021 Thread starter #18 Kukudume2013 said: Usiwapigie honi wavuuka njia ktk zebra Click to expand... hii ina make sense
T ton11 Senior Member Joined Apr 8, 2019 Posts 110 Reaction score 150 Jul 14, 2021 Thread starter #19 MWANDENDEULE said: Ni ya siku nyingi sana hiyo kwa vile imebadilishwa rangi imekuwa mpya? Click to expand... mi sijaona ilivyokua zamani
MWANDENDEULE said: Ni ya siku nyingi sana hiyo kwa vile imebadilishwa rangi imekuwa mpya? Click to expand... mi sijaona ilivyokua zamani
Twilumba Platinum Member Joined Dec 5, 2010 Posts 13,473 Reaction score 16,177 Jul 14, 2021 #20 Chillah said: Hapana ni Viziwi... Click to expand... Kuna tofauti ya kiziwi na kutosikia?