Wote wapo kule.... Mapunguani, Mapungazeze na Timamu WatimilifuTwitter kuna waty wa ovyo kuliko facebook
Punguza madeni,Kuna vitu havichekeshi Kama una stressHaichekeshi.....
Ila kwa sasa wamazidi kule ni vituko tu 🤣🤣🤣kule angalia comments utachek sanaWote wapo kule.... Mapunguani, Mapungazeze na Timamu Watimilifu
Kilichokuchekesha sasa hapo ni nini? Kucheka cheka bila sababu za msingi pia ni dalili za uendawazimu kama sio uchizi.Punguza madeni,Kuna vitu havichekeshi Kama una stress
Nikweli kabisaHayo ni matibabu ya kutoa damu yenye sumu mwilini,kuna vifaa fulani unawekewa mgomgoni ambavyo hufyonza damu chafu,ni aina ya matibabu ya kienyeji ambayo yapo toka enzi ya karne za zamani,so hizo alama mgongoni ni alama za hivyo vifaa vinavyo fyonza damu chafu.