Natafakari Mistari Usijekuchanganyaπ€π€π€
πππππ...mle inapopita bra ndo kunaacha alama ya kuonekana sana ...hahaha shem bwana
πππNatafakari Mistari Usijekuchanganya
Kuna Ile Idara Inayohusika Na Rangi Za Bendera Ya Taifa Wakatujia Eti Njano Iitwe "Dhahabu"
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Akatengua Iwe Njano
Nawaza Hiyo Mistari Ya Njano Ama Dhahabu
Habari zenu wanawake wenzangu..
Hivi hizi alama za brazia huwa inawezekanika kutoka kweli? naamanisha zile sehemu inayopita brazia..inaacha mark mno jaman..nimeanza jichukia
Je kuna dawa yyt au mafuta yyt yanayoweza kusaidia kutoa!?yaan inafikia hatua unashindwa kuvaa backdress..au nguo zifananazo ..kama offshoulder!sio mabegani tu ni had huku mgongoni...itafikia kipindi ht kwenda beach tutaogopa..!hebu nataka jua na nyie zinawatokea..at first nilikua nalala na bra.. (mazoea mabaya)sasa hv nimeacha ila alama bado tuπ’π’π’π’π’!
cc.
Nalendwa ,Shunie espy Heaven Sent Meeyah !
Kwani lazima kuvaa ?nahis huelew..yaan mm mgongon na bagan imechora kbs jaman..eti unavutiwamm hapana nimeanza zichukia..maana janq dingi aliniona akamuask mkewenilijisikia ovyo
Wanawake mna tabu kweli, thats being a woman, kama utaki kuwa mwanaume... hizo alama ni pambo,zinapendeza
ππππNakazia kwakweli Kapicha for more understanding
Anywys!
Hazina shida dada yangu..dont stress
Hivi kumbe zile alama za bra hazijatoka!!!!