Alama hizi za bra zinatokaje?

😀😀😀
Natafakari Mistari Usijekuchanganya
Kuna Ile Idara Inayohusika Na Rangi Za Bendera Ya Taifa Wakatujia Eti Njano Iitwe "Dhahabu"
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Akatengua Iwe Njano



Nawaza Hiyo Mistari Ya Njano Ama Dhahabu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
Natafakari Mistari Usijekuchanganya
Kuna Ile Idara Inayohusika Na Rangi Za Bendera Ya Taifa Wakatujia Eti Njano Iitwe "Dhahabu"
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Akatengua Iwe Njano



Nawaza Hiyo Mistari Ya Njano Ama Dhahabu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unaonekana una haraka, utajiharibu ngozi bure. Kuwa mwenye subira, punguza matumizi ya hiyo kitu itapungua au kuondoka kabisa. Aidha, fikiria upya aina za bra unazotumia hasa material na size. Kuna material zenye nailoni kwa wingi si nzuri, naona hii hata vichupi vyenu vile kama kamba, vingi vina nailoni, mwili/ngozi haipumui, inachomeka haswa.
 


Wanawake mna tabu kweli, thats being a woman, kama utaki kuwa mwanaume... hizo alama ni pambo,zinapendeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…