Alafu unasema unataka good husband mungu anakuona

samyz

JF-Expert Member
Apr 24, 2015
589
309
8c59cbe980a5cff8b10bc652f7e2b5ce.jpg
 
Hii kauli “Mungu anakuona" tujaribu kuangalia tunavyoitumia...wakati mwengine inatumika pasi'na sababu ya maana na ya msingi,mf; hapa bint kashika sijui bangi sijui sigara tunasema Mungu anakuona,nikusema kwamba yeye ndo kamtuma afanye ujinga huo?wengine unakuta vimada wamefumaniana basi utasikia jamani wewe fulani Mungu anakuona,yaani mfanye uzinzi wenu huko mmefumaniana mnamshirikisha Muumba?no tubadilike tunakosea ndugu zangu tuache mizaha kwa vitu visivyotaniwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom