Ifike mahali tuseme inatosha na kusema sasa ni muda watu kujua kuna Mungu. Hawa niwavuja jasho masikini wanahangaika kupata mehemeo ya watoto wao masikini hawana pakwenda leo kila siku wanachomewa masoko na kutunga story hazina kichwa why for 6 years back huu ujinga haukuwepo.
Mbona pale Kisutu watu walikubali kwa amani waka hama na jengo likaje gwa na wamerudi... Ina kuwaje masoko yanaungua kila kukicha na hakuna mamlaka inawajibika hivi kweki mnafikiri watu ni wajinga kiasi cha kutojuwa nini kina endelea au mnafikiri uwovu huu utapita salama bila kuwarudia wapangaji? Je hamjuwi kuna karima?.
Wewe mtu unayepanga na kuchoma moto either kwa kutaka kufurahisha watu na kuonyesha unaweza kwa kuumiza maelfu ya familia naomba kutangaza hutochoma tena masoko, kama Mungu anavyoishi vilio na machungu ya watu wanachomewa mitaji yao tangu Kariakoo, Mchikichini na sasa TAZARA nataka kusema hutochoma na machozi haya ya watu you have to pay the price. Amen
Pia soma:
Soko la Vetenari lililoko maeneo ya TAZARA linateketea kwa moto
Dar: Soko la Mabegi Karume laungua moto alfajiri ya Aprili 8, 2022
Mbona pale Kisutu watu walikubali kwa amani waka hama na jengo likaje gwa na wamerudi... Ina kuwaje masoko yanaungua kila kukicha na hakuna mamlaka inawajibika hivi kweki mnafikiri watu ni wajinga kiasi cha kutojuwa nini kina endelea au mnafikiri uwovu huu utapita salama bila kuwarudia wapangaji? Je hamjuwi kuna karima?.
Wewe mtu unayepanga na kuchoma moto either kwa kutaka kufurahisha watu na kuonyesha unaweza kwa kuumiza maelfu ya familia naomba kutangaza hutochoma tena masoko, kama Mungu anavyoishi vilio na machungu ya watu wanachomewa mitaji yao tangu Kariakoo, Mchikichini na sasa TAZARA nataka kusema hutochoma na machozi haya ya watu you have to pay the price. Amen
Pia soma:
Soko la Vetenari lililoko maeneo ya TAZARA linateketea kwa moto
Dar: Soko la Mabegi Karume laungua moto alfajiri ya Aprili 8, 2022