Mmmh, hata mimi ningepinga,, haiwezekani kwa magaidi kuwa chama cha siasa halafu watu mka-relax...
Manake hao motive yao ni kuharibu, je mnajihakikishia vipi kwamba hiyo motive imewatoka?
Big No..
By the way, mkuu hebu tupatie source ya hii taarifa..