kundi la Al shaabab kimekuwa chama rasmi cha siasa na kuitwa SOMALIA ISLAMIC EMIRATES,jee wazungu watakipokeaje chama kutoka ktk kundi la kigaidi na kuwa chenye jina la kizungu ukilinganisha na al shaabab la kiarabu?
wazungu ndio wana wa finance al shabaab sasa wameona kuwa kenya wanataka kuwamalizia ulaji wao ... al shaab wanatoaga wapi nguvu kuteka meli kama sio wazungu hao hao .. blaahh hawaipendi africa at all
Mmmh, hata mimi ningepinga,, haiwezekani kwa magaidi kuwa chama cha siasa halafu watu mka-relax...
Manake hao motive yao ni kuharibu, je mnajihakikishia vipi kwamba hiyo motive imewatoka?
Big No..
By the way, mkuu hebu tupatie source ya hii taarifa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.