fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,023
- 5,000
sawa sheikh yahaya kwahiyo atauawa lini tujuze ,usije ukaanza wewe ukamuachaMan, ogopa sana nchi kama Saudi Arabia au Pakistan!!
Tofauti na Iran ambao ni political hardliners; Saudi Arabia na Pakistan ni religious extremists! Nchi za namna hii zinakuwa na extremists mpaka ndani ya system na ndio mana Marekani/CIA walipata shida sana kumpata Osama bin Laden!
Kwamba, ingawaje CIA na Pakistan Intelligence Service ni allies kwa miongo kadhaa na wote walikuwa wanamsaka Osama lakini some members of Pakistan Intelligence Service walikuwa wanatoa info kwa Osama!
Hii maana yake nini?
Of course a new prince anaweza kuwa kipenzi cha wengi especially vijana wa kileo lakini hiyo haiwezi kuwa guarantee ya usalama wake kwa sababu naweza kuwa traded na insiders ambao ni extremists!
Raia wa kawaida hawana ubavu wa kumlinda!!
Remember this post: kwa sera za huyu jamaa anahatarisha sio tu usalama wake bali ufalme mzima! Kwamba, anaweza kusababisha hata mapinduzi sawa na yale ya Iran in 1979 yatakayohitimisha utawala wa kifalme nchini Saudi Arabia!