Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,383
- 33,041
Magaidi wa Al Qaeda wa Iraq wamesema watafanya mashambulizi 100 kuanzia katikati ya mwezi mtukufu wa Ramadhan ili kulipiza kifo cha kiongozi wao mpendwa Sheikh Osama Bin Laden.
Swali: Hivi hao watakaokufa kwenye hayo mashambulizi yao ndio waliomuua Sheikh Osama Bin Laden?
Al-Qaeda in Iraq: 100 attacks to avenge Bin Laden - Arab News
Swali: Hivi hao watakaokufa kwenye hayo mashambulizi yao ndio waliomuua Sheikh Osama Bin Laden?
Al-Qaeda in Iraq: 100 attacks to avenge Bin Laden - Arab News