Al Qaeda wa Iraq kufanya Mashambulizi 100 kulipiza kifo cha Osama

Hayo maswali uliouliza ungewauliza Wamerekani walipokwenda kushambulia Afghanistan. WaAfghanistan ndio waliwaripua New York?

Wacha watandikwe wao na vibaraka wao waliowakaribisha Iraq.
 
Hayo maswali uliouliza ungewauliza Wamerekani walipokwenda kushambulia Afghanistan. WaAfghanistan ndio waliwaripua New York?<br />
<br />
Wacha watandikwe wao na vibaraka wao waliowakaribisha Iraq.
Waacheni wadundane wao kwa wao huku mafuta yakikwapuliwa!
 
Hayo maswali uliouliza ungewauliza Wamerekani walipokwenda kushambulia Afghanistan. WaAfghanistan ndio waliwaripua New York?

Wacha watandikwe wao na vibaraka wao waliowakaribisha Iraq.

Kweli wewe ndio zombie kabisa...sasa watakaotandikwa ni wamarekani au wairaq?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom