Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,311
- 4,019
Wako very bias sana. Hawa ndio wafalme wa double standard.
Ingawa vyombo vya habari vya wazungu navyo vina mlengwa lakini wakija katika utu na ukweli haijalishi hata kama linawalenga wao binafsi unakuta wana report to the utmost extent.
Sasa kuja kwa ndugu zetu al jazeera wazee wa ku-report israel na US vibaya ingawa ndugu zao wa jamii yao wanafanya mambo ya ovyo sana.
Unakuta habari za ukatili wa iran na mataifa mengine ya kiislam zinaguswa guswa sasa ikija israel na marekani ni siku nzima.
Hawa jamaa wanachekesha sana, kipindi kils walianza kushutumu Israel kwa kulipua hospitali wakati camera zao live zili nasa kombola la hamas lilidondokea hospitali.
Baada ya kukugundua hilo walipotezea hio habari na hawakuendelea kuilaumu hamas.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Ingawa vyombo vya habari vya wazungu navyo vina mlengwa lakini wakija katika utu na ukweli haijalishi hata kama linawalenga wao binafsi unakuta wana report to the utmost extent.
Sasa kuja kwa ndugu zetu al jazeera wazee wa ku-report israel na US vibaya ingawa ndugu zao wa jamii yao wanafanya mambo ya ovyo sana.
Unakuta habari za ukatili wa iran na mataifa mengine ya kiislam zinaguswa guswa sasa ikija israel na marekani ni siku nzima.
Hawa jamaa wanachekesha sana, kipindi kils walianza kushutumu Israel kwa kulipua hospitali wakati camera zao live zili nasa kombola la hamas lilidondokea hospitali.
Baada ya kukugundua hilo walipotezea hio habari na hawakuendelea kuilaumu hamas.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app