Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,220
Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19
Kenya have well educated work force besides speaking better English and writing fine Kiswahili.
Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19
Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19
Nairobi is now one of the most prominent cities in Africa politically and financially.[SUP][8][/SUP] Home to thousands of Kenyan businesses and over 100 major international companies and organisations, including the United Nations Environment Programme (UNEP) and the main coordinating and headquarters for the UN in Africa & Middle East, the United Nations Office in Nairobi (UNON), Nairobi is an established hub for business and culture. The Nairobi Stock Exchange (NSE) is one of the largest in Africa and second oldest exchange.It is ranked 4th in terms of trading volume and capable of making 10 million trades a day.[SUP][9][/SUP] The Globalization and World Cities Study Group and Network (GaWC) defines Nairobi as a prominent social centre.[SUP][citation neededNairobi - Wikipedia, the free encyclopedia][/SUP]
<br />Wakuu nilipost thread kule kwenye jamii intelligence naona imefinywa. Ilikuwa ni kuuliza ni kwanini mashirika karibu yote yanafungua ofisi zake Nairobi na sio Mwanza, Arusha au hapa Dar es salaam? Je TISS wanakuwa na taarifa in advance kuwa jamaa wanataka kufungua ofisi hizo? wana lobby ili jamaa wafungue ofisi hizo Tanzania? Ofisi hizo ni mzingo kwa nchi au ni advantage? Najua kuna watu hapa wenye uelewa kuhusu issue hii, ni vizuri tukiwa na TISS inayendana na wakati na sio inayfanya kazi kama za miaka ya karne ya 19
Kwani si washatuacha!tutakuwa wa mwisho kabisa na sera zetu mbovu na serikali yetu legelegeDAR SI JIJI LA KUFANANISHA NA NAIROBI.... <br />
<br />
Tanzania bado tupo nyuma sana.. tutakujwa kuachwa na Rwanda hivihivi...