Taarifa zinasema kwamba yule jamaa aliyejitambulisha kuwa ndiye Brigedia Jenerali Sulaiman Al Adawi, Mmiliki wa Dowans anatajwa kutembelea mitambo ya Dowans Ubungo....
Kazi kwenu waandishi makini na wapiga picha, naambiwa hapo atakaa kwa mapozi apigwe picha vizuri ili apate publicity kama kiongozi wa nchi..... duh Watanzania ni kiboko
Taarifa zinasema kwamba yule jamaa aliyejitambulisha kuwa ndiye Brigedia Jenerali Sulaiman Al Adawi, Mmiliki wa Dowans anatajwa kutembelea mitambo ya Dowans Ubungo....
Kazi kwenu waandishi makini na wapiga picha, naambiwa hapo atakaa kwa mapozi apigwe picha vizuri ili apate publicity kama kiongozi wa nchi..... duh Watanzania ni kiboko
..Jamani mbona Tz hatueleweki..tulitaka ajitokeze amejitokeza tunasema sio yeye na hatumsemi nani mmiliki..mmekataa kulipa deni amekuja kujadili deni lipungue au lisitishwe mnataka akamatwe kwa kosa la kukataa kupiga picha. Mi naona ombwe kubwa sana katika uchambuzi na ujengaji wa hoja kwa wahariri na wachambuzi katika Media zetu. Jambo la msingi ambalo media ingejikita kwa sasa ni kuuliza technical issues na kujua hatma ya mchakato na pengine kutoa mapendekezo kuliko kutuchanganya maana saa hizi kila gazeti ni picha ya Mmiliki wa dowans. Picha yake sio muhimu tena jamani lets talk the talk now..its boring..
i hope rostam,ngeleja na yule bosi wa tanesco watakuwa pembeni yake,..najiandaa kujilipua nao wadau,..wote hao watatu siwafagilii lao moja kwenye ujambazi huu wa dowans,..sitanii watch the news,..
i hope rostam,ngeleja na yule bosi wa tanesco watakuwa pembeni yake,..najiandaa kujilipua nao wadau,..wote hao watatu siwafagilii lao moja kwenye ujambazi huu wa dowans,..sitanii watch the news,..
i hope rostam,ngeleja na yule bosi wa tanesco watakuwa pembeni yake,..najiandaa kujilipua nao wadau,..wote hao watatu siwafagilii lao moja kwenye ujambazi huu wa dowans,..sitanii watch the news,..