Mtu mmoja amekutwa nyumbani kwake akiwa amekufa baada yakuchinjwa shingo. Arusha kijenge mtaa wa kashmir polisi wamefika wameuchukua mwili wa marehemu kuupeleka hospital ya mkoa maunt meru r i p
Hivi hii nchi ya KITU KIDOGO hata lini TAFAKARI? Polisi wako wapi tukio la juzi USA hakuna ripoti, watu wanaibiwa kila mchao hakuna ripoti..
Hivi hawa polisi wapo kweli ?!!
Mbona inshu ya Waziri Kigoma Malima watuhumiwa wote walikamatwa.. Uweje Mtu anachinjwa no body care!!
Bado kidogo watu wataanza kuunda majeshi ya mitaani kujilinda na hawa wauwaji! ndipo itakapobadilika na kuwa visasi! Polisi wafanye kazi yao inavyotakiwa vinginevyo lawama zitakuwa juu yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.