Akufaaye kwa tabu, ndiye sahibu

Akufaaye kwa tabu, ndiye sahibu

Joined
Oct 27, 2014
Posts
9
Reaction score
1
Ndugu zangu naomba usaidizi, najua kuna wale wataikejeli shida yangu lakini nina imani kunae atakae elewa uchungu ninao moyoni, nina mpenzi wangu tulopendana sana, miezi ilopita mpenzi kaniita kule Malindi tuzungumze, ilibakia miezi 4 tufunge pingu za maisha kama tulopanga hapo mwanzo, lakini lo!

Nilodhani ndilo kumbe silo, mpenzi kanambia yamekwisha kati yetu kwani amemuona mrembo wa Nairobi, nilipata pigo la moyo ndugu zangu kwani sikumkosea kamwe, naumwa sana kwani mapenzi yetu,kazi niliwacha ndipo niwe na wakati na mpenzi,alikuwa asha nipeleka nyumbani kwa wazazi na ndugu zake.

Nilikuwa nimewajulisha jamaa na marafiki wangu, naona maumivu sana moyoni, naomba tafadhali ajuae daktari sugu wa kienyeji anisaidie kukirudisha kikombe changu,nimetafuta msaada kila mahali lakini Kenya matapeli tupu.

Nawaomba haswa ndugu zangu wa Tanga nisaidieni,kwani akufaae kwa dhiki ndiye rafiki, nitashukuru sana.

Asanteni.

 
Pole sana kwa masahibu yaliyokupata.

Nitakachoweza kukuambia ni kwamba mapenzi huwa hayalazimishwi kubali ya kuwa wewe umeachika.

Achana na shirki rejea kwa Mola wako, kwa uwezo wake Mola Inshallah atakufanyia wepesi
 
Ndugu zangu naomba usaidizi,najua kuna wale wataikejeli shida yangu lakin nina imani kunae atakae elewa uchungu ninao moyoni,nina mpenzi wangu tulopendana sana, miezi ilopita mpenzi kaniita kule Malindi tuzungumze,ilibakia miezi 4 tufunge pingu za maisha kama tulopanga hapo mwanzo, lakin lo! Nilodhani ndilo kumbe silo,mpenzi kanambia yamekwisha kati yetu kwani amemuona mrembo wa Nairobi,nilipata pigo la moyo ndugu zangu kwani sikumkosea kamwe,naumwa sana kwani mapenzi yetu,kazi niliwacha ndipo niwe na wakati na mpenzi,alikuwa asha nipeleka nyumbani kwa wazazi na ndugu zake,nilikua nimewajulisha jamaa na marafiki wangu,naona maumivu sana moyoni,naomba tafadhali ajuae daktari sugu wa kienyeji anisaidie kukirudisha kikombe changu,nimetafuta msaada kila mahali lakin Kenya matapeli tupu, nawaomba haswa ndugu zangu wa Tanga nisaidieni,kwani akufaae kwa dhiki ndiye rafiki, nitashukuru sana, asanteni.

Pole sana mkuu, ingawa sijaelewa kitu hapo kwenye rangi nyekundu!!!
 
Ndugu zangu naomba usaidizi,najua kuna wale wataikejeli shida yangu lakin nina imani kunae atakae elewa uchungu ninao moyoni,nina mpenzi wangu tulopendana sana, miezi ilopita mpenzi kaniita kule Malindi tuzungumze,ilibakia miezi 4 tufunge pingu za maisha kama tulopanga hapo mwanzo, lakin lo! Nilodhani ndilo kumbe silo,mpenzi kanambia yamekwisha kati yetu kwani amemuona mrembo wa Nairobi,nilipata pigo la moyo ndugu zangu kwani sikumkosea kamwe,naumwa sana kwani mapenzi yetu,kazi niliwacha ndipo niwe na wakati na mpenzi,alikuwa asha nipeleka nyumbani kwa wazazi na ndugu zake,nilikua nimewajulisha jamaa na marafiki wangu,naona maumivu sana moyoni,naomba tafadhali ajuae daktari sugu wa kienyeji anisaidie kukirudisha kikombe changu,nimetafuta msaada kila mahali lakin Kenya matapeli tupu, nawaomba haswa ndugu zangu wa Tanga nisaidieni,kwani akufaae kwa dhiki ndiye rafiki, nitashukuru sana, asanteni.

Pole sana dear kwa yaliyokukuta dear. Binafsi naomba uchukue muda na kushukuru Mungu kwakuwa yeye ndiye akujuaye, na kukupenda zaidi kuliko yeyote hapa duniani. My dear kuachwa au kuachana si kitu rahisi katika lakini kumbuka kitu kimoja kila kitu kina season yake maishani wetu and I know inauma but jipe moyo mpenzi na Mungu atakupigania hata hili .

Katika kipindi hichi si kipindi cha kuwaza kufanya Mabaya ni kipindi kutulia na kumshirikisha Mungu sana ili akupe wisdom na ishara kitu za kukuongoza. Unaweza ukafikiri eti kwa mganga ndio jibu no dear anza kutoa mawazo yako potofu uliyo nayo. Huwezi hata siku moja to depend on humans, we are all humans, we can never do everything by our power without involving God.God is the answer and solution in every problems and challenges that you / we are facing daily in our lives. So dear try to forget huyo ex wako , jipange upya na mungu atakupa mwingine. Take care of yourself. please. Thanks!
 
Ndugu zangu naomba usaidizi,najua kuna wale wataikejeli shida yangu lakin nina imani kunae atakae elewa uchungu ninao moyoni,nina mpenzi wangu tulopendana sana, miezi ilopita mpenzi kaniita kule Malindi tuzungumze,ilibakia miezi 4 tufunge pingu za maisha kama tulopanga hapo mwanzo, lakin lo! Nilodhani ndilo kumbe silo,mpenzi kanambia yamekwisha kati yetu kwani amemuona mrembo wa Nairobi,nilipata pigo la moyo ndugu zangu kwani sikumkosea kamwe,naumwa sana kwani mapenzi yetu,kazi niliwacha ndipo niwe na wakati na mpenzi,alikuwa asha nipeleka nyumbani kwa wazazi na ndugu zake,nilikua nimewajulisha jamaa na marafiki wangu,naona maumivu sana moyoni,naomba tafadhali ajuae daktari sugu wa kienyeji anisaidie kukirudisha kikombe changu,nimetafuta msaada kila mahali lakin Kenya matapeli tupu, nawaomba haswa ndugu zangu wa Tanga nisaidieni,kwani akufaae kwa dhiki ndiye rafiki, nitashukuru sana, asanteni.

Nakupa pole kwa yaliyokufika,kweli inaumiza hasa unaposalitiwa na mtu uliyempenda na kumuthamini kwa dhati ya moyo.Lakini sijakuelewa hapo kwenye red,unawezaje kuacha kazi kwajili ya mapenzi?Na inashangaza mno kuona binti mdogo namna hiyo unajihusisha na ushirikina?Yawezekana jamaa alishtuka na akaamua kukuacha Kama hiyo ndiyo tabia yako,wengi hawapendi.Nani alikwambia eti kuna daktari wa kienyeji wa kutibu mapenzi?Nakushauri umugeukie Mungu,atakusaidia.Ni hayo tu!
 
Pole sana


Mapenzi hayatabiriki kamwe wala hayana mjuzi.....hiyo ni step kubwa sana umeipitia ambayo itakufanya kua aware huko mbele


Kubwa nalokusahur kwanza hata ikatokea unapata mtu mwingine au jamaa amerejea usijaribu kuacha kaz kisa n mwanaume...dada mapenzi yana muda wake halkadhalika kaz nayo....kuna leo kuna kesho kimfaaacho mtu chake...kaz n kwa ajili yako na maisha yako...ume taabika mara ngapi shule umapata misukosuko mara ngapi leo hii umesahau unaacha kazi kitu ambacho kingekupa faraja ya maisha yako.


Kuhusu kurud kwa huyu bwana inategemea pengine alikuambia ulimkosea wap kwa sababu siwez amini from no where akuambie amepata kwingine bora zaidi kwa ghafla lazima alikua akifanya matayarisho taratibu kusudi tu kwako ikibuma asipate tabu sana kutafta mtu yy anasogeza tu. Weka waz upate kusaidiwa nahis kipo kitu nyuma ya pazia kimejificha....hakuna kisicho na sababu...
 
Duuu!pole sana,tuliowahi kuachwa bila sbb ni wengi tu na tunajua uchungu wa hiyo kitu kwani unakuwa hujajipanga kukabiliana na hiyo kitu,jipe moyo utashinda tu!
 
kama upo serious tuwasiliane kuna fundi moja matata wa kigoma hata ukitaka achishwe kazi anaacha.... ukitaka mbo....oo ilale sekunde tu mi kunajamaa aliniletea uhuni nimemfanya hamna mpaka sasa wanahaha.
 
Uchawi hauna nafasi. Unaweza enda kwa mganga yeye anaomba kila siku na kufunga. Shetani hawezi mshinda aliemuumba.
Bahati haikuwa yako, tafuta mwingine, au umri umekutupa mkono
 
Dah poleee sana,mapenzi haya sawa na upepo waweza vuma kas kwenda kusi, kumbuka wa moja aweza vaa mbili na wa mbili awezi vaa moja, na pia next time usirudie kosa uliofanya never ever do that again kuacha kazi my dear it's a big mistake usije rudia maana, kinacho kuumiza zaidi naisi kazi uliacha kwa ajili ya mpenzi wako na mapenzi na upendo wako kwake but at the end of the day amekuona sichochote though mapenzi ni upofu apendae haoni.
Kuhusu zana ya kutafuta sijui mgaganga wakienyeji ooooooh my dear wacha izo abari mungu kakuepusha na mengi bora utulie tu umuombe mungu akupe aliye wako na mwenye mapenzi ya zati kwako
 
Wachezea girls wa kenya wee asa wa mombasa.uliza uwaambiwe kwa kuchukua waume za watu..polee yako.
 
johnsonlinda650??

mmmh mbona kama cjaelewa jinsia ya mtoa mada, anyway pole sana mkuu,
 
Last edited by a moderator:
Pole sana kwa unayoyapitia,umeanguka kung'uta mavumbi songa mbele,akunyimae mbaazi kakuepushia mashuzi, mshukuru Mungu kwa yote songa mbele,maisha bado yanaendelea na yataendelea,kamwe usiijiingize kwenye ushirikina huko utaaumia bure what's goes around comes around.
 
Pole sana.
Hii ndiyo Dunia mrejee Mungu wako, kwa kufunga na kuomba Hakika Milango itafunguka kwa yale utakayo
usiende kwa Mganga maana, Mungu ni Mwema.
 
kama upo serious tuwasiliane kuna fundi moja matata wa kigoma hata ukitaka achishwe kazi anaacha.... ukitaka mbo....oo ilale sekunde tu mi kunajamaa aliniletea uhuni nimemfanya hamna mpaka sasa wanahaha.

Nipo serious...tuwasiliane, nimekutumia PM tizama
 
pole sana dada kwa yaliyokukuta..mimi sikulaumu wala kukushangaa kwa uwamuzi wako kwasababu maumivu na machungu ya mapenzi anajua yule aliyetendwa.hivyo yupo radhi kufanya chochote ili tu kuufariji moyo wake.CHA MUHIMU HAPO NI .1.kubaliana na kilichotokea..kwamba hatimaye hauna nafasi tena kwake.ni ngumu ila inabidi.
2.jitahidi kusahau yale yote mazuri aliyotenda na kumbuka mabaya yake..itakusaidia kumchukia na kutaka kuachana nae.
3.amin kwamba huyo hakuwa wako ..yupo wako anakusubili.
4.shukuru mungu kwa kila jambo kwani linasababu yake.
5.anza kwa upya ukimtumainia mungu futa kila kumbukumbuku yake na uachie moyo wako.
NB..usijalibu kwenda kwa waganga watazidi kukupoteza...ni hayo tuu
 
Back
Top Bottom