Akpan na Okwa Wagoma Kuondoka Simba SC

Robidinyo

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
3,742
7,697
Akpan na okwa wamegoma kuondoka, hivyo hakuna nafasi ya kuongeza mchezaji wa kigeni

Akpan aliambiwa arudi kwenye timu yake ya zamani kwa mkopo, amegoma nakusema anabaki kupambania namba la sivyo avunjiwe mkataba.

Okwa nae anadai abaki au avunjiwe mkataba na apewe stahiki zake zote isipungue hata 100
 
Akpan na okwa wamegoma kuondoka, hivyo hakuna nafasi ya kuongeza mchezaji wa kigeni

Akpan aliambiwa arudi kwenye timu yake ya zamani kwa mkopo, amegoma nakusema anabaki kupambania namba la sivyo avunjiwe mkataba.

Okwa nae anadai abaki au avunjiwe mkataba na apewe stahiki zake zote isipungue hata 100
Mambo haya ya mikataba aliweza barbra
 
Hilo Ni SoMo kwa hivi vilabu kutumia vizuri dirisha kubwa la usajili. Siyo lazima kudajili kwa mihemko na si lazima nafasi zote 12 zimezwe na dirisha kubwa. Tujifunze kuweka balance kwa ajili ya dirisha dogo. Pia scouting team wawe makini Sana kabla ya kumrecommend mchezaji flani asajiliwe ili kuondoa hizi ambiguities za kuvunjiana mikataba na kulazimishana kupelekana kwenye mikopo
 
Hilo Ni SoMo kwa hivi vilabu kutumia vizuri dirisha kubwa la usajili. Siyo lazima kudajili kwa mihemko na si lazima nafasi zote 12 zimezwe na dirisha kubwa. Tujifunze kuweka balance kwa ajili ya dirisha dogo. Pia scouting team wawe makini Sana kabla ya kumrecommend mchezaji flani asajiliwe ili kuondoa hizi ambiguities za kuvunjiana mikataba na kulazimishana kupelekana kwenye mikopo
Hoja yako Imeshiba.
 
Akpan na okwa wamegoma kuondoka, hivyo hakuna nafasi ya kuongeza mchezaji wa kigeni

Akpan aliambiwa arudi kwenye timu yake ya zamani kwa mkopo, amegoma nakusema anabaki kupambania namba la sivyo avunjiwe mkataba.

Okwa nae anadai abaki au avunjiwe mkataba na apewe stahiki zake zote isipungue hata 100
Aibu yako hii
 
Akpan na okwa wamegoma kuondoka, hivyo hakuna nafasi ya kuongeza mchezaji wa kigeni

Akpan aliambiwa arudi kwenye timu yake ya zamani kwa mkopo, amegoma nakusema anabaki kupambania namba la sivyo avunjiwe mkataba.

Okwa nae anadai abaki au avunjiwe mkataba na apewe stahiki zake zote isipungue hata 100
Nani aliwalog Simba kwenda kuwanunua wachezaji wa kina Nigeria wale Ni matapeli n wasom fursa wote ,Simba italazimika kuwalipa wahuni vijan wapiga dili na danadana eti wachezaji

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom