Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 3,742
- 7,697
Akpan na okwa wamegoma kuondoka, hivyo hakuna nafasi ya kuongeza mchezaji wa kigeni
Akpan aliambiwa arudi kwenye timu yake ya zamani kwa mkopo, amegoma nakusema anabaki kupambania namba la sivyo avunjiwe mkataba.
Okwa nae anadai abaki au avunjiwe mkataba na apewe stahiki zake zote isipungue hata 100
Akpan aliambiwa arudi kwenye timu yake ya zamani kwa mkopo, amegoma nakusema anabaki kupambania namba la sivyo avunjiwe mkataba.
Okwa nae anadai abaki au avunjiwe mkataba na apewe stahiki zake zote isipungue hata 100