Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,560
- 65,382
Sasa yeye anahusika vipi hapo? Mbona hayo ni mambo ya kawaida kwa wafugaji?Ndiyo, ilibidi tuache wake bariadi tuswage ng'ombe kwenda lindi na mtwara.
Huna hoja wewe.
Sasa yeye anahusika vipi hapo? Mbona hayo ni mambo ya kawaida kwa wafugaji?Ndiyo, ilibidi tuache wake bariadi tuswage ng'ombe kwenda lindi na mtwara.
Do you remember this post?
Jiulize ni kwanini katika ujenzi wa barabara wa lami, kwa km moja kwa tanzania ni ghali kuliko sehemu nyingi barani AFRICA!! hilo tingatinga lako liko wapi,? na hizo barabara hata muda haupit zote ni mashimo tu. Ndio uje huku kwa EL
Mkuu, kiingereza chako kigumu sana
Na bado, kuna wengine mtasema MLIACHANA NA WAKE zenu alipokuwa waziri mkuu.
Kwani mtoa mada ana hoja gani zaidi ya hekaya na majungu?Dada yangu ungejenga hoja ingekuwa bora zaidi kuliko mipasho...
Kwani mtoa mada ana hoja gani zaidi ya hekaya na majungu?
Ndio maana nimezidi kumpa uwanja aendeleze majungu yake maana hakuna kitakachobadikisha kua Lowassa ndiye Rais ajaye.
Kwa kweli tukikumbuka adha za Lowassa alivyokuwa waziri mkuu hatuna hamu, wananchi wa Sengerema walimuuliza iweje saruji ipande bei kutoka shs 9300 hadi shs 26,000 ndani ya mwaka mmoja?
Hakujibu swali badala yake alianza kutukana na kusema vijana mnakalia maneno ya vijiweni badala ya kufanya kazi. Hapo akiwa waziri mkuu sasa akiwa Rais si ndo ataamurisha tuswekwe ndani kabisa.
Ikumbukwe mtoto mdogo aliswekwa ndani kule ukerewe kisa kamuuliza swali kwenye mkutano wa hadhara.
Ninachokiamini mimi ni Lowassa ndiye Rais wetu ajaye.....Hili halina ubishi.Huenda ukawa sahihi, lakini bado nguvu ya hoja inahitajika. Maana kama mnafanya mipasho, then mtashindwa kufanya ushawishi wa kile mnachokiamini
we mbona muongo sana?
Na bado, kuna wengine mtasema MLIACHANA NA WAKE zenu alipokuwa waziri mkuu.
Ninachokiamini mimi ni Lowassa ndiye Rais wetu ajaye.....Hili halina ubishi.
Sasa huyo mtoa mada muache apoteze wakati wake kwa majungu yake.