akinitolea nje itakuwa je?

akinitolea nje itakuwa je?

MTOTO YATIMA

Senior Member
Joined
Jul 1, 2012
Posts
147
Reaction score
58
kuna binti moja nnasoma naye kwangu anakila sifa za kuwa mwenza wangu wa maisha bt nakosa pozi kabisa la kumtokea nawza kaa akinitosa itakuwaje, napata wakati mgumu sana kila nnapo waza juu ya hili, tunaheshimiana kama kaka na dada na yeyey kiukweli anajiheshimu sana, naombeni msaada jamani wana MMU
 
Jitahidi kumjali zaidi ya ukaka na udada, jaribu kueleza hisia zako kwake kwa matendo zaidi ya maneno.
 
kila nikitaka kufanya kitu naona kama anabadilika kabisa cjui nawaza endapo ataniambia anamtu ahkah cjui itakuweje mm
 
kuna binti moja nnasoma naye kwangu anakila sifa za kuwa mwenza wangu wa maisha bt nakosa pozi kabisa la kumtokea nawza kaa akinitosa itakuwaje, napata wakati mgumu sana kila nnapo waza juu ya hili, tunaheshimiana kama kaka na dada na yeyey kiukweli anajiheshimu sana, naombeni msaada jamani wana MMU

Kijana ebu weka jitihada ktk masomo yako; mapenzi na shule ni sawa na chai na mlenda. After all akikutolea nje unadhani dunia itasimama?
 
kuna binti moja nnasoma naye kwangu anakila sifa za kuwa mwenza wangu wa maisha bt nakosa pozi kabisa la kumtokea nawza kaa akinitosa itakuwaje, napata wakati mgumu sana kila nnapo waza juu ya hili, tunaheshimiana kama kaka na dada na yeyey kiukweli anajiheshimu sana, naombeni msaada jamani wana MMU

Yani wewe mwenyewe ni yatima halafu unakimbilia mapenzi. Jionee huruma. Soma kwanza ili ujikomboe na ukomboe na wenzako hao wanawake wapo tuuuu!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
cyo kwamba ana mtu nawaza itakuweje kama ndo akiniambia anamtu wake kitambo coz ndo wimbo wa wengi sahv
 
kwani ww SUMU unajua mimi nna umri gani mpaka uniambie nisome kwanza nimesha pambana sna mapka sahv niko chuo kikuu nadhani ni wakati muafaka kabisa am 25 nna uwezo wangu kiasi kwamba nnaweza kuendesha maisha yangu ya wadogo zangu nnaona bdo kunauwezo wa kummudu mtu mwingine mmoja thats y nna mwaka wa kwanza GPA ilikuwa 4.2 inanitosha san bdo nnuwezo kwa kuipandisha so masomo kwangu cyo shida
 
Yaani badala ya kusoma umetawaliwa na ngono, hebu soma'halafu hizi sshule zinafunguliwa lining?????????
 
kwani ww SUMU unajua mimi nna umri gani mpaka uniambie nisome kwanza nimesha pambana sna mapka sahv niko chuo kikuu nadhani ni wakati muafaka kabisa am 25 nna uwezo wangu kiasi kwamba nnaweza kuendesha maisha yangu ya wadogo zangu nnaona bdo kunauwezo wa kummudu mtu mwingine mmoja thats y nna mwaka wa kwanza GPA ilikuwa 4.2 inanitosha san bdo nnuwezo kwa kuipandisha so masomo kwangu cyo shida

Sawa mkuu. Wewe mtokee halafu baada ya matokeo ya final exams ya semester ya pili uniPM GPA yako. You are going to make the biggest mistake of your life. Ulipotoka ni mbali kuliko unapokwenda. Malizia hapo palipobaki ndo uanze hayo mambo.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Yaani badala ya kusoma umetawaliwa na ngono, hebu soma'halafu hizi sshule zinafunguliwa lining?????????

Sisi shule yetu inafunguliwa 14th January 2013. Baba jana ndo katoka kunichukulia report yangu posta. Hajaniambia nimekuwa wa ngapi ila kaninunia tokea jana nikimsalimia hanijibu kitu.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Dogo jaribu bahati huwezi kufa,nenda ukijua kuna kupata au kukosa,akigoma songa mbele
 
Dogo soma, hao wapo tele tu.. Ukimaliza shule ukapata kazi watakutafuta wao, wacha kujitwisha mastress sasa, komaa na kitabu badae utawakimbia hao.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
The higher the risk, the higher the returns..
 
Usiwe discouraged MTOTO YATIMA, masomo yapo na mapenzi yapo.. Kama unahis una mapenzi ya dhati kwake nenda kafunguke na umueleze hisia zako, Thats not a crime bana!! Cha kuzingatia ni kwamba,usije ukaruhusu mapenzi yakutawale ukavurunda shule..balance muda wako.
 
Ckiza raia mwnzangu masomo yapo2 na yana muda wake..ww tiririka kwa huyo mrmbo kumbuka uwogawako ndo umaskn wako..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom