MTOTO YATIMA
Senior Member
- Jul 1, 2012
- 147
- 58
kuna binti moja nnasoma naye kwangu anakila sifa za kuwa mwenza wangu wa maisha bt nakosa pozi kabisa la kumtokea nawza kaa akinitosa itakuwaje, napata wakati mgumu sana kila nnapo waza juu ya hili, tunaheshimiana kama kaka na dada na yeyey kiukweli anajiheshimu sana, naombeni msaada jamani wana MMU