Hivi jamani kuna muda maalumu wa watu kutongozana.? Maana naona kila mtu anasema soma kwanza, soma kwanza! Wimbo ni ule ule. Nakumbuka nikiwa o level niliambiwa soma kwanza, advance-soma kwanza. Nilipoanza chuo-soma kwanza, nilipomaliza chuo-tafuta hela kwanza. Mara oooh, wanawake wapo tu! Shiit! Hivi wazazi wa siku hizi mkoje? Nani anaweza kunithibitishia kwamba alipokuwa chuo alikuwa hana mtu? Nimekumbuka na tano bila ya muhimbili, loh! Dogo we jilipue tu ila usiwe na expectations za kukubaliwa tu. Na kuambiwa anaye siyo ndo kwamba mwisho wa kuchimba kisima. Wengi wao ndo wimbo wao kama zamani walivyokuwa wanasema ngoja nikakufikirie. Jipe moyo