chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,553
- 28,406
Habari za mwanzo wa wiki wana MMU
Akina Dada naombeni mnusaidie wakati wanaume wanataka kuanzisha mahusiano ya kimapenzi na nyie ni vigezo gani hasa huwa mnazingatia ili kuwakubalia au kuwakatalia wanaume?
Haijalishi ulimfahamu kabla au ndiyo Mara ya kwanza kukutana naye.
Karibuni tufahamishane.
Akina Dada naombeni mnusaidie wakati wanaume wanataka kuanzisha mahusiano ya kimapenzi na nyie ni vigezo gani hasa huwa mnazingatia ili kuwakubalia au kuwakatalia wanaume?
Haijalishi ulimfahamu kabla au ndiyo Mara ya kwanza kukutana naye.
Karibuni tufahamishane.