Akina dada njooni hapa mnisaidie

Akina dada njooni hapa mnisaidie

Appearance tu ndio kitu cha kwanza kama ndio nameet nae kwa mara ya kwanza....
 
mshiko mbele ila appearance nayo inamata kwakwel
 
Kwanza naangalia anavyoongea...

Kuna wanaume kwao matusi ni kama maongezi mengine, hawezi kuzungumza sentensi 2 bila kutia tusi... pili dharau hasa kwa wanawake, mnaweza kuwa mmekaa mahali fulani akapita mwanamke utasiki huyu/yule demu basi ataanza kumchambua kama karanga....

Wallah hata kama umekuja na vogue nakuchomolea aisee....

Mie mwanaume mstaarabu na mwenye speed governor kwenye mdomo wake ndiye haswaaaa namhitaji!!!
 
Hahaa wanawake wanawapenda wanaume wanaondesha magari,,haijalishi ni gari gani au ni lake au la kampuni..!

Ni ajabu kwa kweli... ukute mwanaume anaendesha gari imeandikwa SERENGETI BREWERIES mwili mzima na mwanamke ana VOGUE.... AKYANANI TENA ANAKWENDA NA MAJI
 
Habari za mwanzo wa wiki wana MMU

Akina Dada naombeni mnusaidie wakati wanaume wanataka kuanzisha mahusiano ya kimapenzi na nyie ni vigezo gani hasa huwa mnazingatia ili kuwakubalia au kuwakatalia wanaume?

Haijalishi ulimfahamu kabla au ndiyo Mara ya kwanza kukutana naye.

Karibuni tufahamishane.

wallet inacheka!!!?
 
Mie mwanaume chakraam simpendi yaani msema ovyo....

Pili mwanaume misifa ndio kabisaa sitaki ata kumuona...

Tatu napenda wanaume simple wanaishi maisha ya kawaida kama mimi tu sio wale wenye kuigiza kwingi.....
 
Kila mwanamke ana anachopenda, binafsi mie huwa sijapenda sana ni mguu mmoja ndani mwingine nje, nina kipindi cha probation kwa mwanaume, yaweza kuwa week, mwezi au miwili. Ndani ya hicho kipindi nitakujua wewe ni wa aina gani. Maamuzi juu yangu sasa.
 
Back
Top Bottom