Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,694
- 1,772
- Thread starter
- #61
andika angalau hata moja tu.....mna kero nyingi sana, nikianza kuandika vidole vitavimbaa.
andika angalau hata moja tu.....mna kero nyingi sana, nikianza kuandika vidole vitavimbaa.
nakaribia kukuunga mkono maana hao hawanaga longolongo.....
Sasa huko ndiko hautaombwa hela? Tatizo ni kuwa wanaume wa siku hizi hata nyimbo hawazijui, mnaanza na majigambo na kujionesha kuwa mnazo. Sasa wewe unitoe Kibaha hadi Sinza, kwa nini usinirudishe, acheni urongoo bana hata nyie huwa mnapenda kuhonga
kwa maana ingine hawa wenzetu ni wabinafsi kila kitu wapewe wao,then ndio wa kwanza kusema haki sawa kwa wote katika hili hamtutendei haki au ndio mnatumia sex kama fimbo kutukomoa?mmepewa bure nanyi mtoe bure
kwa maana ingine hawa wenzetu ni wabinafsi kila kitu wapewe wao,then ndio wa kwanza kusema haki sawa kwa wote katika hili hamtutendei haki au ndio mnatumia sex kama fimbo kutukomoa?mmepewa bure nanyi mtoe bure
haaah haah haah mkuu umetishaa! Wamepewa bure nasi watupe bure haah haah haah ur ryt mia
mnataka vyote?!!!! basi mtakosa vyote maana tutakuwa tunawadanganya ukishamaliza shida zetu tunasepa!!!!
Makubwa! Hivi ile dhana ya 50 kwa 50 inatekelezeka kweli km mdundo ndo kama hivyo?'Mi huwa nawashangaa sana madada,
Nimekupeleka lunch,... nikakupeleka saluni, nikatafuta chumba ili tubenjue ile amri ya 6, wakati tunaibenjua hiyo amri, unadai eti nikufikishe kunako kilele. Mara baada ya shughuli, unadai eti hela...huwa mnasemaga hivi....., ooh, nifanyie mpango nikanywe supu....ooh, nataka nauli ya taxi nirudi nyumbani.,....halafu hizi kucha nataka nikazibadilishe rangi.... Sasa kama unataka nikugharimie kihivyo, ya nini utake nihangaike vilevile kukufikisha kunako kilele cha kibo? Yaani wewe unapata faida mara mbili.....Ungechagua moja kati ya haya...kufika kibo au hela na siyo kupata vyote kwa pamoja. Mbona mnataka kutupunja sisi wanaume?
Kuanzia sasa, ukigharimiwa basi sahau suala la kufikishwa kibo, ukitaka ufikishwe kibo basi na wewe uchangie gharama za maandalizi ya shughuli.......
Da Bombu....kutongoza ni kutongoza tu, iwe kwa nyimbo au kuhonga....ili mradi lengo (uroda) tu litimie!
Kwanini demu apewe hela ya saloon? si ndo mdai haki sawa nyie. Utakuwaje haki sawa na sponsor wako au boss? Mkitaka kuhudumiwa acheni nyodo kuweni wapole, saslimia kwa kupiga magoti, kili nyie ni dhaifu, tetemekeeni wanaume. Hapo mtalipiwa kila kitu bila shida. Kama mnaweza kuna ubaya gani nanyi mkalipia vyumba, usafiri supu nk. Who pays the piper determines the tune.oh. usawa, Usawa, usawa.... lipieni na guest bas.Usiseme mademu coz sio wote wana njaa kama huyo uliyekutana nae...huyo wako ana ziki kuu ndo mana anaomba, omba hovyo, mwambie wanawake siku hizi tunaweza, ila na wewe kama huyo ni mpenzi wako ni haki yako kumuhudumia, unataka nani ampe hela ya saluni?..na inaonekana humpi mpaka nywele zinachakaa anaamua kuomba. Uwe unampa pocket money bana!..
tATIZO WANAWAKE TAKE SEX AS A WEEPON SASA UKIKUTANA NA ASOTETEMEKA UTATEMBEA HATA KWA MGUUuyo atakua ni dada ako may be!
yaani na avatar yako inaniunga mkono moja kwa moja....na sisi tuandamane kukataa hilo swala....
Pole. Kumbe huifahamu falsafa ya mapenzi na saikolojia ya kike!Mi huwa nawashangaa sana madada,
Nimekupeleka lunch,... nikakupeleka saluni, nikatafuta chumba ili tubenjue ile amri ya 6, wakati tunaibenjua hiyo amri, unadai eti nikufikishe kunako kilele. Mara baada ya shughuli, unadai eti hela...huwa mnasemaga hivi....., ooh, nifanyie mpango nikanywe supu....ooh, nataka nauli ya taxi nirudi nyumbani.,....halafu hizi kucha nataka nikazibadilishe rangi.... Sasa kama unataka nikugharimie kihivyo, ya nini utake nihangaike vilevile kukufikisha kunako kilele cha kibo? Yaani wewe unapata faida mara mbili.....Ungechagua moja kati ya haya...kufika kibo au hela na siyo kupata vyote kwa pamoja. Mbona mnataka kutupunja sisi wanaume?
Kuanzia sasa, ukigharimiwa basi sahau suala la kufikishwa kibo, ukitaka ufikishwe kibo basi na wewe uchangie gharama za maandalizi ya shughuli.......
mhhhhh..una majibu makavu kwelikweli.ama kweli mzoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi! kama unaona gharama sana acha kutafuta madem wa town kama vipi nenda kijijini kwenu kachukue wanaosuka nywele za mkono na wanja wa kuchoma mapira.